Acha bwana,sio poa.....hanaga shida kabisa huyo
 

Wanaumeee!!Mungu anawaona [emoji28][emoji28][emoji28]
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] wanaume wengi waoga kufumaniwa wanakuwaga wadogo ka piritoni na huyu waziri akipona aaChe uzinzi utamuua mkewe ka ana mfatilia hivo atakuwa anatumia hata madawa
Fumanizi lolote uwe dume au mwanamke lazima uwe mdogo,mpole
[emoji1]
Waziri hakutakiwa kukimbia kwanza
Angelimqliza kibingwa

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…