Bora ujue lipo kaburini,kuliko kusikia lipo gest na mwanamke .Mwanamke mshindi rambirambi, mirathi pesa za kazini,na kama ana kazi nzuri wala hatalimiss atalea wanae vizuri kabisa.Kama namuona mke wa waziri anavyo tabasamu😂😂
We jinga kweliSafi sana
Wanawake mbona mna hasira sana 🤪🤪Wakome umalaya
Mimi wangu yupo kaburini, nina uhakika yupo kaburini. No pressure no stress. Yaani ukiwa na mme mpenda mademu full stress. Bora mwanamke mwenzangu sasa atakuwa na uhakika mme wake yupo wapi.We jinga kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Alafu atapata ambae hapendi mademu sasa ausio???Mimi wangu yupo kaburini, nina uhakika yupo kaburini. No pressure no stress. Yaani ukiwa na mme mpenda mademu full stress. Bora mwanamke mwenzangu sasa atakuwa na uhakika mme wake yupo wapi.
[emoji2][emoji2][emoji2] make hapo nicheke kwanzaWanawake mbona mna hasira sana [emoji2957][emoji2957]
Ni kweli hapo mama wAziri afanye shereheBora ujue lipo kaburini,kuliko kusikia lipo gest na mwanamke .Mwanamke mshindi rambirambi, mirathi pesa za kazini,na kama ana kazi nzuri wala hatalimiss atalea wanae vizuri kabisa.
Ukiwa na pesa,watoto wa kulea,mwanamke hata nyege hausikii tena.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Alafi atapate ambae hapendi maedemu sasa ausio???
Wamepata nafasi na cheo ila huyu waziri ni mshamba flani, he is not smart aaChe uhuni awaache wazoefuNi Dr kabisa by professional na Mbunge wa Wanging'ombe.
Huyu na yule Dr.Mollel Naibu wa Afya wote ni classmate na age mate Bado wako kwenye early 40s.
We humuonei huruma mwenzioSafi sana
Why?Kuna mkali aliniambia ukisikia unafanyiwa vetting ujue hupati kitu hapo [emoji16][emoji16]
Ni kipaji hicho pia,wengi nawaonaYani mie sielewi hivi inakuwaje Mwanaume mzima unashindwa kum comtrol Mwanamke hadi akufuate fuate.
Labda kama ni jobless,ila kama ana kipato ninampongeza,atalea wanae vizuri tu.Mimi ni mjane pia. Nina amani maana nina uhakika alipo.Sio zamani mtu anakuaga anakwenda Mtwara kikazi,kumbe yupo hoteli na demu.We humuonei huruma mwenzio
Mama Waziri ajiandae kufunga virago na kutengwa na familia juu. Pia watoto hawatopanda tena V8 kwenda shule na huenda wakatoleewa FEZA kurudi St Marrys. MWANAMKE MPUMBAVU HUIBOMOA NYUMBA YAKE KWA MIKONO YAKE MWENYEWE.Ni kweli hapo mama wAziri afanye sherehe
Vetting ni mbwembwe tuu za kuondoa lawama,Tanzania hakuna Cha vetting ila Kuna connections unless ni kazi nyeti sana ila sio hizi za siasa.Why?
Ni kweli[emoji23][emoji23][emoji23] ila sasa unashangaa majimama yanatafuta viben tenUkiwa na pesa,watoto wa kulea,mwanamke hata nyege hausikii tena.
Nimeipenda sana hiiUsed, misused, abused, and then confused.
[emoji2][emoji2]Afe kabisa,mala ya mkubwa huyu.
Hao nao mala ya tu.Kiben ten cha nini sasa mwisho upate Ukimwi upate stress tena.Mimi nilivyofiwa nilijiinspire kwa mke wa Thomas Sankara, na kwa mke wa Patrice Lumumba. Wale walifiwa wakiwa wabichi kabisa ila walilea watoto wao bila kuolewa tena.Ni kweli[emoji23][emoji23][emoji23] ila sasa unashangaa majimama yanatafuta viben ten