Unamhusishaje Tax waziri wa Mambo ya nje kwenye hili. Tax Ni MTU muadilifu.
Anamuwahi John the Baptist kupandisha uzi. Hata Mimi sijamuelewa.Na wewe mbona umeandika Kwa spidi Kali kama huyo naibu?
Haaaaaaaah hapo hajamzungumia Tax mtu bhna [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unamhusishaje Tax waziri wa Mambo ya nje kwenye hili. Tax Ni MTU muadilifu.
Chadema hamna Bando 😀😀😀Anamuwahi John the Baptist kupandisha uzi. Hata Mimi sijamuelewa.
Hahaha..Unamhusishaje Tax waziri wa Mambo ya nje kwenye hili. Tax Ni MTU muadilifu.
Ulikuwa na haraka mno ya kupost kuliko upesi [emoji23]Mods isomeke ajali sio askari
USSR
Ni Mbunge, atatibiwa kama Mbunge iwapo Serikali itagoma kumtibuMtu kama huyu utashangaa anaenda kutibiwa nje ya nchi kwa gharama za serikali
Ajali kaziniMods isomeke ajali sio askari
USSR
Wengi tume uelewa uzi wake.Ulikuwa na haraka mno ya kupost kuliko upesi [emoji23]
Halafu waziri Tax mbona yupo vizuri Sana, mwanzoni nilikuwa simuamini.Unamhusishaje Tax waziri wa Mambo ya nje kwenye hili. Tax Ni MTU muadilifu.