Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Hali Yake Tete Maana V8 Imepondeka Tairi Juu, Mheshimiwa Alikuwa AnapambanaMmh kashafika na Dar, so the issue is serious! Anyway Mungu amponye na ampe neema ya kutengeneza na Mungu wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hali Yake Tete Maana V8 Imepondeka Tairi Juu, Mheshimiwa Alikuwa AnapambanaMmh kashafika na Dar, so the issue is serious! Anyway Mungu amponye na ampe neema ya kutengeneza na Mungu wake
Lete Maneno...Huo ubunge aliupata kwa njia ya giza,na hata huo uwaziri sijui unaibu ni hivyo hivyo! Thanks
Dah aisee nimeskitika, Mungu amponyeHali Yake Tete Maana V8 Imepondeka Tairi Juu, Mheshimiwa Alikuwa Anapambana
Magari ya serikali kuu hayana bima , ola magari ya mashirika na halmashauri yanatakowa kuwa na bima.Ninavyojua mahari yote ya serikali Yana bima kutoka TIRA
Bora ujue lipo kaburini,kuliko kusikia lipo gest na mwanamke .Mwanamke mshindi rambirambi, mirathi pesa za kazini,na kama ana kazi nzuri wala hatalimiss atalea wanae vizuri kabisa.
Nachelea kusema hukuwahi kumpenda mume wako!!Mimi wangu yupo kaburini, nina uhakika yupo kaburini. No pressure no stress. Yaani ukiwa na mme mpenda mademu full stress. Bora mwanamke mwenzangu sasa atakuwa na uhakika mme wake yupo wapi.
Utawasikia watesalonike wanasema atoe shukurani ya pekeeMmh kashafika na Dar, so the issue is serious! Anyway Mungu amponye na ampe neema ya kutengeneza na Mungu wake
Kwani ukiandika Kiswahili utahesabika NGUMBARO?Very personal !!!!a public servant being unfaithful and unethical by committing extra marital affairs using government vehicle financed by tax payers' money!!
Shukrani ya pekee inatoka kwenye moyo wa mtoa shukrani na sio mpaka aambiwe, akiguswa atatoa. Pia anaweza akatoa na watu wasijueUtawasikia watesalonike wanasema atoe shukurani ya pekee
Wanna bet?He won't resign.
All we sinners .What a shame! He doesn't have to apologize for what he did. He just need to resign his position and let his boss appoint his replacement asap.
MsameheAlipinga Ushoga?Kumbe yeye mwenyewe ni mzinzi.
Yaani Kuna mijitu Ina akili za kunguru, hili suala limeingiaje kwenye Imani ya dini?Hili ndilo tatizo la kufikiria kwa kutumia utumbo mpana.
Kwani hapa ni jukwaa la dini ama hii habari inahusiana vipi na imani..!!??
Hiyo njia ya hivyo mungu hapendi kabisa anataka hadi ikutane na kimashine chake cha kutolea 😁Tena nyie Mungu kawapa njia automatic ya kuondoa nyege. Ile zinatoka zenyewe tu manii ukiwa usiku umelala.
Zaidi ya mke mmoja ni uzinzi, Uislamu unatetea uzinzi.Uislam mwema sana, angekuwa Muislam angekuwa na mke zaidi ya mmoja kihalali kabisa.
Hakika, kila msiba ni mawaidha kwa tulio hai.
Ile kujichua ndo Mungu hapendi, ila ile inatoka wakati wa wet dream ni Mungu kaumba kitu OG.Hiyo njia ya hivyo mungu hapendi kabisa anataka hadi ikutane na kimashine chake cha kutolea 😁
Kwenye mbio za mwenge usiombe ufuska unaofanywa na Chama hiki.CCM kwa uzinzi duh, shetani atasubiri