Muuza Viat
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 2,826
- 7,388
Na hiyo katiba mpya ifafanue kinagaubaga kuwa misambwanda ya mudifkeshen marufukuTunataka katiba mpya! [emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hiyo katiba mpya ifafanue kinagaubaga kuwa misambwanda ya mudifkeshen marufukuTunataka katiba mpya! [emoji16]
Alitaka aonekane na plate namba ya tamisemi,akipita watu wamjue naniAlishindwa nini kuchukua UBER
Angekuwa mama yako ungetoa huo ushauriHatuombei mabaya, assume amekata moto, lawama zitamwendea mke wake kuwa amesababisha. Kwa nini asitulie nyumbani ? Mbona kuna wanawake ni watulivu, wanajua waume za ni wakware, ina maana hakujua madhara ya kufumania? Angetulia nyumbani huku ana data zote kuhusu uzinzi wa mume wake ili maisha yaendelee
Mgeni kwenye 'game', alipaswa kuisoma ramani kwanza.Huyu waziri ni bongo la mshamba
Bado,na mgeni wa mambo ya kula bata na kunyandua toto
Ova
Basi atakuwa anamfanyia huo ushetani akijua ustaarabu wa mke ndo maana atakuwa akili zilimrukaHapana mke wake namfahamu siyo mtu wa hivyo ni mstaarabu sana hata nilivyosikia hii habari nimeshangaa sana
Acha ujinga, umelala Mara ngapi na mke wake mpaka useme ni mstaarabu?Hapana mke wake namfahamu siyo mtu wa hivyo ni mstaarabu sana hata nilivyosikia hii habari nimeshangaa sana
Yani watu wanavyomponda jamaa na kumtetea mwanamke nashangaa sanaa..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha ujinga, umelala Mara ngapi na mke wake mpaka useme ni mstaarabu?
Mjinga ni wewe mwenye maswali ya kijinga. Yani na kujiita kote DR umeona ustaarabu wa mtu unapimwa na kulala naye. Pole sanaAcha ujinga, umelala Mara ngapi na mke wake mpaka useme ni mstaarabu?
😳😳😂😂Hii inaonesha kwamba tupo pamoja kwenye shida na raha 😄
Hawa jamaa ni waasherati na wazinzi Kuna wabunge nashoga kwa mujibu wa mbunge Janeth MasaburiKwenye mbio za mwenge usiombe ufuska unaofanywa na Chama hiki.
Huko ulaya ingekua aibu. Hapa kwetu utamuona akipona anarudi bungeni na kulaani vitendo vya ushoga na usagaji.Kwa hili aheri na yule mbunge aliyeingia bungeni akiwa amelewa, aibu yake inahimirika kuliko mkamatwa ugoni.
Msigwa bado anafuatilia kipigo Cha mbwa koko walichopata Simba Jana.Hadi sasa Serikali haijatoa tamko tu.Ni vema ikaondoka hisia na uvumi unaosambaa.
Yule naye alikuwa mwingiSio kwenye serikali yangu. RIP Baba Magufuli. We will remember You now and forever.
Dodoma hakuna Uber 😀Alishindwa nini kuchukua UBER
Anasimamia dawati la afyaHuko ulaya ingekua aibu. Hapa kwetu utamuona akipona anarudi bungeni na kulaani vitendo vya ushoga na usagaji.
Na makofi mengi mengi atapigiwa as if hajafanya Jambo la aibu.
Kumbuka huyu ndio anasimamia elimu ya watoto wetu na waalim.