Hiyo njia ya hivyo mungu hapendi kabisa anataka hadi ikutane na kimashine chake cha kutolea 😁
Dah!

Kwamara ya kwanza nakuona ukisema jambo, mara nyingi hukutana na 'like' nyingi tu unazosambaza kila mahala.

Kumbe maswala ya aina hii yanaondoa soni mtu na kujiachia tu kuseama/kuandika bila ya kujali!

HeeeHeee! Na hilo jibu hapo ulilotoa si la kukurupuka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…