Wahuni sio watu wema.
Wahuni ni Kama walevi au mateja, wao kwa wao hawadhuriani. Sasa wewe muungwana ingia kumi na nane zao ndio utajua maharage nikitoweo.
 
Gari binafsi Haina plate number 😂, huu ni mzaha kwenye Mali za ummaa.

Huyu ni Malaya na ana ukimwi Mungu 😤 amlaani
 
Tuache huu ujinga kwani mtu akiwa Naibu waziri ndo hali mbususu... Iyo ni ajili kazini Tuache kumsagia kunguni
 
Huko unakoishi hakuna wanaume?

USSR
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe huna maajabu, haya niache nibaki huku huku niliko.

Mwanaume huyo nitafutie wee.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe huna maajabu, haya niache nibaki huku huku niliko.

Mwanaume huyo nitafutie wee.
Ndugu zangu wote walisha sema uzuri na upore vitakupa mme tu , Tulia

USSR
 
Ndugu zangu wote walisha sema uzuri na upore vitakupa mme tu , Tulia

USSR View attachment 2604180
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km wanaume wenyewe ndo hawa wanaokimbia fumanizi na kutoa uhai wa wengine huku yeye akiwa majeruhi hapanaa kwa kweliii.

Siweziiiiiiii
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km wanaume wenyewe ndo hawa wanaokimbia fumanizi na kutoa uhai wa wengine huku yeye akiwa majeruhi hapanaa kwa kweliii.

Siweziiiiiiii
Nani anakukimbia ?

USSR
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…