Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gari binafsi Haina plate number 😂, huu ni mzaha kwenye Mali za ummaa.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip I. Mpango akizungumza na Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI, Dkt. Festo Dugange leo tarehe 29 Aprili 2023 wakati alipofika hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Benjamin Mkapa kumjulia hali baada ya kupata ajali ya gari.
Dkt. Dugange alipata ajali usiku wa tarehe 26 Aprili 2023 wakati akiendesha gari yake binafsi Jijini Dodoma ambapo kwa sasa anaendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Benjamini Mkapa.
My note:-
Tuamini yupi gari lake au la Serikali?
Tuache huu ujinga kwani mtu akiwa Naibu waziri ndo hali mbususu... Iyo ni ajili kazini Tuache kumsagia kunguniHuko UK, miaka ya zamani kidogo, Waziri mdogo, alikutwa na kashfa ya uzinzi, yaani kutembea na hawara zake, UK PM wa wakati huo, alimteua mtu mwingine right away, hata hajamjulisha na kazi yake ikawa ndio basi, Waziri mdogo akawa kajifukuzisha kazi kwa aibu kubwa.
Waziri mzima unakosa maadili au unashindwa kuficha siri zako tena nyeti kabisa, sasa siri za serikali si ndio hata hawezi kuficha hata kidogo, mimi ningekuwa Mh. Rais nachagua tu mtu mwingine paaap, ndio imeisha hiyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe huna maajabu, haya niache nibaki huku huku niliko.Huko unakoishi hakuna wanaume?
USSR
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km wanaume wenyewe ndo hawa wanaokimbia fumanizi na kutoa uhai wa wengine huku yeye akiwa majeruhi hapanaa kwa kweliii.
Ndo ujue vilaza walivyojaa mjengoniNaye naibu waziri ni wa ajabu hivi kama angesimama na kumtambukisha kuwa huyu ni mtumishi hapo wizarani mke wake angefanya nini? Akili nyingine ni za ajabu sana.
Unajizima data eeh?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nani anakukimbia ?
USSR
Sitaki kitu mie.Sijakusoma unataka nini hasa
USSR
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie nimeleta kelele wapi hapaa??Sasa kelele za nini humu , unajua unaboa
USSR
Nna basha wangu, tunacheza PS soon tunaenda kitandan, akani inamisheeLeo unakadem nini mbona unafuraha
USSR
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Basha tena ? wewe si unasaga na kuswaga
USSR
[emoji482][emoji482]Endelea kukoboana
USSR