Dodoma: Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange apata ajali akiendesha gari
Amefanya kosa gani?
Hajachukua mke wa MTU, kachukua Malaya.
Gari alilotumia Ni lake.
Mke aliye m cheat Ni wake.
Pesa aliyomhonga Malaya Ni yake.
Ukimwi aliovuna toka kwa Malaya Ni wake (walevi hawatumii kondom na waziri alikua amelewa)
Maumivu anayo ugulia Ni yake.
Hata kama sio mke wa Mtu, rejea mambo ya Trump,
 
Sasa ndo ufanye kunipa huyo ndugu yako wa kiume, tuwe huko kwenye asili ya ubinadamu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utaacha hizo mambo za kusuguliwa na wanawake wenzako

USSR
 
Habari ni kweli na waziri aliumia vibaya alipelekwa mahutiuti kalazwa Benjamin mkapa hospital dodoma, kimya Cha serikali nadhani ni aibu tu
CCM will fall under its own weight.
CCM kwa Sasa Ni Kama MTU mlafi, mnene kupindukia lakini yeye Ni kula kula kila wakati. Muda si mrefu huyu MTU atakufa kwa shinikizo la damu au moyo utashindwa kusukuma damu.
Angalia wanavyoiba (maneno ya CAG waliomteua wenyewe) na Sasa ufuska wa nje nje.
 
Sasa ndo ufanye kunipa huyo ndugu yako wa kiume, tuwe huko kwenye asili ya ubinadamu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Would you please spread your legswide for me or bend over and spread yourass wide for me? Please🙏🏿?
 
Kwangu mimi nailaumu imani yake, ndiyo inayomfunga na Imani yake,Waisilamu wameruhusiwa kuowa zaidi ya mke mmoja, lakini wakristo wamekatazwa na wazungu, ila wanamichepuko
Mbona kuna hao wa wake wanne bado wana michepuko kiongozi. Haya mambo hakuna cha imani wala nini ni tabia ya mtu.
 
CCM will fall under its own weight.
CCM kwa Sasa Ni Kama MTU mlafi, mnene kupindukia lakini yeye Ni kula kula kila wakati. Muda si mrefu huyu MTU atakufa kwa shinikizo la damu au moyo utashindwa kusukuma damu.
Angalia wanavyoiba (maneno ya CAG waliomteua wenyewe) na Sasa ufuska wa nje nje.
Ccm umalaya ni sifa kuu Yani umalaya ni ritual ya chama, Sasa umalaya huo ndio unafika Hadi kwenye maofisi ya umma plus wizi. In short nchi hii imefeli kwenye maadili, maadili yangekuwa mema hata wizi usingekuwepo
 
Magari ya serikali kuu hayana bima , ola magari ya mashirika na halmashauri yanatakowa kuwa na bima.
Gari la serikali kuu likisababisha ajali na ikahitajika aliyeumia kulipwa wanalipwa kupitia mfuko Mkuu hazina.
Ila kwenye hii ishu kuna mambo zaidi ya bima
1. Kwa nini kiongozi ajiendesha Kwa Gari la serikali? Kuna kuwa na sababu na viongozi wana utaratibu wa kuruhusiwa kujiendesha kwenye Magari ya serikali ila ni very rare MF kuwe hakuna dereva hata wa kuazimq kutoka idara nyingine ya serikali na hii inahitaji kubali cha Katibu Mkuu kiongozi.
Pia kuna viongozi wa idara za usalama wa taifa kama ma RSO na DSO hawa wanaruhusiwq kujiendesha wenyewe kwenye Magari yao ya ofisini.
Kwa nini huyo dereva wake ampatie funguo huyo bosi wake ? Dereva naye ana shida.
Ila izito wa hili suala ni kwenye maadili ya kiongozi huyo jamaa anatakiwa atwnguliwe hata akiwa hospitali ni manake hapo atakuwa anatibiwa Kwa gharama za serikali (kwani hawakatwi bima ya afya ) wakati ameumia akiwa katika uzinzi akikiuka maadili ya kazi yake tena akitumia chombo cha serikali tena kinyume cha utaratibu
Vp kama angeoata gonjwa la ngono si angetibiwa kwa gharama za serikali?
 
Naibu Waziri mzima hana uzoefu kabisa na masuala ya wanawake, what a hopeless guy..!! Hata kazi zake zinatia mashaka, hana uwezo kabisa huyu.
 
Ccm umalaya ni sifa kuu Yani umalaya ni ritual ya chama, Sasa umalaya huo ndio unafika Hadi kwenye maofisi ya umma plus wizi. In short nchi hii imefeli kwenye maadili, maadili yangekuwa mema hata wizi usingekuwepo
Halafu hawana kazi za kufanya, kama una kazi hauwezi kufikiria ngono namna hiyo na ndio maana yananenepa hovyo.
 
Huko UK, miaka ya zamani kidogo, Waziri mdogo, alikutwa na kashfa ya uzinzi, yaani kutembea na hawara zake, UK PM wa wakati huo, alimteua mtu mwingine right away, hata hajamjulisha na kazi yake ikawa ndio basi, Waziri mdogo akawa kajifukuzisha kazi kwa aibu kubwa.

Waziri mzima unakosa maadili au unashindwa kuficha siri zako tena nyeti kabisa, sasa siri za serikali si ndio hata hawezi kuficha hata kidogo, mimi ningekuwa Mh. Rais nachagua tu mtu mwingine paaap, ndio imeisha hiyo.
 
Back
Top Bottom