Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna cha mara ya kwanza, ni mzoefu huyo.Hahaha muoneni huruma bana
Yawezekana ndiyo tukio lake
La kwanza
Huoni alivyokimbia,angekuwa sugu wa mambo hayo angesimama tu
Ova
Na kama gari ni ya serikali inabidi wahanga wa ajali walipwe na Bima ya serikali pia hivyo anazidi kulitia hasara Taifa.Mkuu kwa nchi yetu hii utashangaa kuona Bado jamaa yupo wizarani pamoja na madudu aliofanya
Maendeleo yatoke wapi kwa hali hii !!!!! It's all about THEM and their CLOSE ONES !!!... eti huyu naye alikuwa kiongozi tena waziri! Nchi itapate maendeleo kwa aina hii ya viongozi? Serious? CCM mna laana!
Umelenga swali zuri sana.Habari hii ina zaidi ya saa 24 toka itolewe hapa JF na sijaona mahali popote serikali imetoa tamko.
Jee ni kweli au ni zile habari za uzushi hapa JF?
Kama ni uzushi inakuwaje moderators wanaacha uzushi unatamba namna hii?
Au kama ni kweli na serikali inakaa kimya Naibu waziri kupata ajali inaweza kuaminika kweli hii? Au ndio yale yasemwayo kuwa serikalini wamejaa wahuni tuu?
Kumbe gari alitumia la kwake?Amefanya kosa gani?
Hajachukua mke wa MTU, kachukua Malaya.
Gari alilotumia Ni lake.
Mke aliye m cheat Ni wake.
Pesa aliyomhonga Malaya Ni yake.
Ukimwi aliovuna toka kwa Malaya Ni wake (walevi hawatumii kondom na waziri alikua amelewa)
Maumivu anayo ugulia Ni yake.
Habari hii ina zaidi ya saa 24 toka itolewe hapa JF na sijaona mahali popote serikali imetoa tamko.
Jee ni kweli au ni zile habari za uzushi hapa JF?
Kama ni uzushi inakuwaje moderators wanaacha uzushi unatamba namna hii?
Au kama ni kweli na serikali inakaa kimya Naibu waziri kupata ajali inaweza kuaminika kweli hii? Au ndio yale yasemwayo kuwa serikalini wamejaa wahuni tuu?
Weka pichaTutaweka picha ua mwanamke aliyekuwa naye guest ya hovyo soon mtashangaa
Habari ni kweli na waziri aliumia vibaya alipelekwa mahutiuti kalazwa Benjamin mkapa hospital dodoma, kimya Cha serikali nadhani ni aibu tuHabari hii ina zaidi ya saa 24 toka itolewe hapa JF na sijaona mahali popote serikali imetoa tamko.
Jee ni kweli au ni zile habari za uzushi hapa JF?
Kama ni uzushi inakuwaje moderators wanaacha uzushi unatamba namna hii?
Au kama ni kweli na serikali inakaa kimya Naibu waziri kupata ajali inaweza kuaminika kweli hii? Au ndio yale yasemwayo kuwa serikalini wamejaa wahuni tuu?
Alipata awamu ya mwendazakeHuyo Ndugage kapata ubunge na huo unaibu Waziri awamu hii au ndio chuki zimekujaa mpaka mkndoni. Kama vp chomoa ujamb km inakuumiza sana
Jinga mwenyewe tena stupid idiot. Na sikazi wa kwako analiwa na cha kumfanya huna ndiyo maana una makasirikio.Wewe ni mpumbavu, ustaarabu wa mwanamke anaujuwa mume wake tu, huwajui wanawake jinga wewe.
Mwananchi limeripoti baada ya kuwahoji baadhi ya viongozi ambao wamejibu kuwa wanasubiri apate nafuu ili aeleze kilichotokea hasa ni nini.Umelenga swali zuri sana.
Nadhani waandishi wetu wa habari kama ni kweli halafu wakakaa kimya basi nao ni sehemu ya ole maana wamekua ni wanafiki na machawa wa kuhujumu nchi Kwa maslahi yao. Wanapenda kuandika habari za uswahilini na kuacha habari zinazogusa maslahi ya nchi.
Waziri ni mtu mkubwa na aliyefariki Kwa tukio la ajali iliyosababishwa na Dereva mzembe ambaye pia ni Naibu Waziri Tena usiku wa manene ana haki ya kutolewa Taarifa kama zinavyotolewa Taarifa ajali za madereva wengine bila kuja cheo.
Ajali ni ajali hata kama Haikua inahusiana na uzinzi wa Naibu Waziri lakini ni ajali na inatolewa Taarifa.
Lakini mpaka kufikia 2025 hii inchi itapitia majanga Mengi sana yanayotokana naatendo maovu yanayofanywa na watawala Kwa makusudi wakitegemea kuwa hakuna mtu wa kuwafanya chochote a. Mungu ndiye Hakimu mkuu na anayelipa kisasi Cha haki . Akiyepewa dhamana ya kuwatisha Wahalifu ameshindwa basi Mungu atasimama Mwenyewe na kuisabaratisha mifumo ya waovu kwenye Taifa hili liliolokua la mfano wa watu wakarimu na wapenda Haki.
Mimi unaniiudhi kuwa lesbian wakati mtoto mrembo tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna leo umenijibu kwa staha na sijakuzoea hivi, uwiiiiii.
Sasa alikua anakimbia nn km kuchakata mbususu sio shida, si angebaki hapo hapo km ilikua sio tatizo, hadi kupinduka na kuishia kuua mwenzake na yeye kuwa majeruhi.
Nasema na badooo wataumbuka wengine zaidi yakee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
DJ waleteeeeee,
Hebu sema kweliii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi unaniiudhi kuwa lesbian wakati mtoto mrembo tu
USSR
Uhamie huku kwenye asili ya ubinadamu na utubu dhambi zako na kuziacha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hebu sema kweliii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vipi sasa Una ndugu yako wa kiumee, anitoe huku nije huko kwa nature??
Sasa ndo ufanye kunipa huyo ndugu yako wa kiume, tuwe huko kwenye asili ya ubinadamu.Uhamie huku kwenye asili ya ubinadamu na utubu dhambi zako na kuziacha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
USSR
Unaweza kushare nasi report hiyo ya Kazeti la Mwananchi?Mwananchi limeripoti baada ya kuwahoji baadhi ya viongozi ambao wamejibu kuwa wanasubiri apate nafuu ili aeleze kilichotokea hasa ni nini.
Kumbukeni Kuna Kanuni za haki ya asili (Principles of natural justice).