Dodoma: Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange apata ajali akiendesha gari
Lakini kwa kosa alilofanya kama kweli kinachoelezwa humu hatakiwi kuendelea na hicho cheo. Amekichafua
Amefanya kosa gani?
Hajachukua mke wa MTU, kachukua Malaya.
Gari alilotumia Ni lake.
Mke aliye m cheat Ni wake.
Pesa aliyomhonga Malaya Ni yake.
Ukimwi aliovuna toka kwa Malaya Ni wake (walevi hawatumii kondom na waziri alikua amelewa)
Maumivu anayo ugulia Ni yake.
 
Mtu kama hujui kitu ni heri ukakaa kimya utaratibu wa magari ya serikali katika uendeshaji ni jikumu la dereva na hakuna kiongozi yoyote anamamlaka ya kuendesha gari linalomhudumia utaratibu wa kuendehsa magari ya serikali unapangwa afisa utumishi mkuu na afisa usafirishaji(To)swali la kujiuliza ni dereva yupi atakubali.

Kumuachia boss wake gari maana litakalo tokea ni msiba kwa dereva,kifupi hilo jambo halipo.

Turudi kwenye hii issue ya mhe Ikiwa ni njia ya kumchafua bora ifahamike hivyo lakini msiichoshe serikali kwa mambo ya kizushi.hiyo gari ni ya binfsi wala sio ya serikali.
 
Ila huyu Naibu waziri juzi tyuuh alipinga vikali ushoga na usagaji, huku akitumia bible kuwa imekataza hivyo vitendo, kumbe yeye ni mzinzii mkubwaaa.

Sasa alikua anakimbia nn? Si nature inaruhusu na ni maadili ya mtanzania?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Na bado wengine wataumbuka kwa aibu kubwa zaidi ya hii.
Kwani alikuwa kwa shoga,sisi hatukatai watubkupiga mbususu shida ni kukamata wanaume mwenzako

USSR
 
Habari hii ina zaidi ya saa 24 toka itolewe hapa JF na sijaona mahali popote serikali imetoa tamko.
Jee ni kweli au ni zile habari za uzushi hapa JF?
Kama ni uzushi inakuwaje moderators wanaacha uzushi unatamba namna hii?
Au kama ni kweli na serikali inakaa kimya Naibu waziri kupata ajali inaweza kuaminika kweli hii? Au ndio yale yasemwayo kuwa serikalini wamejaa wahuni tuu?
 
Kwani alikuwa kwa shoga,sisi hatukatai watubkupiga mbususu shida ni kukamata wanaume mwenzako

USSR
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna leo umenijibu kwa staha na sijakuzoea hivi, uwiiiiii.

Sasa alikua anakimbia nn km kuchakata mbususu sio shida, si angebaki hapo hapo km ilikua sio tatizo, hadi kupinduka na kuishia kuua mwenzake na yeye kuwa majeruhi.

Nasema na badooo wataumbuka wengine zaidi yakee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

DJ waleteeeeee,
 
Tukidai katiba mpya huwa tunaonekana mazuzu, , haya sasa ni matokeo ya katiba mbovu. Huyo kapata ajali ndio tumejua wangapi wanafanya haya?

Tungekuwa na katiba mpya tungeweza kuwa na sauti ya kusema, walau viongozi wasipewe tena magari ya serikali maana mengi yanashinda gesti. Dude la thamani ya zahanati hata nne ,limeangushwa kizembe namna hiyo halafu kama hakuna kilichotokea!! na wananchi tunaishia kulalamika tu hatuna cha kufanya.
Tumia na katiba mpya mbususu zitabadilika ladha yaani kupungua kale kaugwadu wakati Wajerumani wanaenda Afrika?
 
Back
Top Bottom