Wacha weeh.Mkuu
Alikuwa Na Wale Wanakaa Chako Ni Chako, Royal Oops Inawezekana Mheshimiwa Alikuwa Na Kiu Sana Sasa Akaenda Kujipooza
Si ana mke? Kiu hiyo kiu gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha weeh.Mkuu
Alikuwa Na Wale Wanakaa Chako Ni Chako, Royal Oops Inawezekana Mheshimiwa Alikuwa Na Kiu Sana Sasa Akaenda Kujipooza
Amefanya kosa gani?Lakini kwa kosa alilofanya kama kweli kinachoelezwa humu hatakiwi kuendelea na hicho cheo. Amekichafua
Ndio mawaziri Samia aliowachagua Akiwaona wanamfaa!!! Kumbe mafuska tupu
Huyu nibwaziri wa hovyo kuwahi kutokea.Imetosha Sasa tuache kumsakama waziri.
Hii ndiyo itakuwa taarifa sahihi bila shaka.Aliye fumania ni MME wa marehemu
Ndiyo Naibu Waziri na demu wakatoka nduki iliyo sababisha ajali
Ndivyo nilivyo ambiwa
Wewe ndiye jambazi uliyekuwa unateka na kuua wapinzani wa JPM awamu iliyopita! Ajira yenu imesitishwa awamu hii umejaa chuki utafikir ilikuwa ajira rasmiSawa kaka jambazi.
Mume hatakiwi kufa.. Avunjike tu miguu inatosha😅😅Bora ujue lipo kaburini,kuliko kusikia lipo gest na mwanamke .Mwanamke mshindi rambirambi, mirathi pesa za kazini,na kama ana kazi nzuri wala hatalimiss atalea wanae vizuri kabisa.
Kama hivyo msaliti kapata malipo yakeEh kivipi tena
Ova
Unaenda chooni na chupa ya kvant unainywa yote kama majiAnachekea Chooni Kama Manara Vile
Kwani alikuwa kwa shoga,sisi hatukatai watubkupiga mbususu shida ni kukamata wanaume mwenzakoIla huyu Naibu waziri juzi tyuuh alipinga vikali ushoga na usagaji, huku akitumia bible kuwa imekataza hivyo vitendo, kumbe yeye ni mzinzii mkubwaaa.
Sasa alikua anakimbia nn? Si nature inaruhusu na ni maadili ya mtanzania?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na bado wengine wataumbuka kwa aibu kubwa zaidi ya hii.
Kakutumia kumsafisha Nini?? Tunaona jitihada zako..... Hi hi hi hi hi🤣Imetosha Sasa tuache kumsakama waziri.
Hahaha muoneni huruma banaKama hivyo msaliti kapata malipo yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna leo umenijibu kwa staha na sijakuzoea hivi, uwiiiiii.Kwani alikuwa kwa shoga,sisi hatukatai watubkupiga mbususu shida ni kukamata wanaume mwenzako
USSR
Tumia na katiba mpya mbususu zitabadilika ladha yaani kupungua kale kaugwadu wakati Wajerumani wanaenda Afrika?Tukidai katiba mpya huwa tunaonekana mazuzu, , haya sasa ni matokeo ya katiba mbovu. Huyo kapata ajali ndio tumejua wangapi wanafanya haya?
Tungekuwa na katiba mpya tungeweza kuwa na sauti ya kusema, walau viongozi wasipewe tena magari ya serikali maana mengi yanashinda gesti. Dude la thamani ya zahanati hata nne ,limeangushwa kizembe namna hiyo halafu kama hakuna kilichotokea!! na wananchi tunaishia kulalamika tu hatuna cha kufanya.