Dodoma: Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange apata ajali akiendesha gari
Pamoja na hayo lakini.... Najiuliza.... hivi inakuwaje mwanaume anamuogopa mke kiasi hicho hadi kumkimbia na kupata ajali?
Ndiyo hapo sasa
Jamaa lifala sana, limesababisha kifo kwa ufala wake.
 
Serikali msijaribu kulificha suala la ajali ya Waziri Dugange, maana kama ilivyo KARMA itaondoka na vichwa vya watu.
Mwanzo kabisa zilitokea tetesi:
1. Naibu waziri apata ajali akiwa na gari la serikali akikimbizwa kufumaniwa na mke. Mpenziwe afariki kutokana na ajali hiyo.

2. Tetesi hizo zilikanushwa na Polisi, na kukanusha kuwa hakuna aliyefariki ajali hiyo

3.Makamu wa Rais alimtembelea Naibu Waziri hospitali.

4.Mpenzi wa Naibu Waziri bado hakujulikana, bodoboda waliofika eneo la ajali waliona maiti ya mwanamke.

5.Tunapata habari mwanafunzi Nusra Hassan ati kafia Moshi kilimanjaro kwa kipigo cha mpenzi wake.
Jina la mpenzi wake halijulikani.

6. Hospitali huko Himo Moshi, inakanusha kumpokea Nusra hospitalini hapo.

7. Taarifa mkanganyiko za kifo cha Nusrat Hassan toka chuoni kwake UDOM, zinakubali kutokea kifo lakini hazielezi mazingira wala sababu za kifo, wala kama wameripoti polisi.

8. Polisi kama kawaida inafuatilia tu taarifa za mitandao, haikiri kama kuna RB imefunguliwa na mtu yeyote.

9. Ndugu wa Marehemu Nusra isivyo kawaida hawajajitokeza hadharani kudai taarifa sahihi za kifo cha ndugu yao.

KUTOKANA na mlolongo huo ni dhahiri sasa mtu mwenye akili atagundua kuwa mwanamke aliyekuwa na Dugange si ajabu ni huyo Nusra, hatuna uhakika huo, lakini mazingira ya tukio yana shabihiana.

Hivyo basi, POLISI na Dugange , mumwogope Mungu.
Kubalini na muwe wakweli kwa yaliyotokea ili ukweli ukidhihirika wananchi watakuwa wepesi kusamehe.

Lakini mkipandikiza uongo juu ya uongo mbingu na nchi hazitawasamehe.

Mbaya zaidi mnamharibia Mama Samia, hatutaki kurudi kule tulikotoka, kuficha ukweli.
Makuwadi wa soko HURIA = ccm
 
Bado tunaishi in the Jungle era.
Era ambazo viongozi ni untouchable, chochote kitafanyika ikibidi kuvunja sheria, kuvunja maadili, kuvunja uaminifu, oindua nchi juu chini, geuza wananchi kuwa waoumbavu ili mradi tu viongozi walindwe na kubaki salama, huku rais wa nchi na wasaidizi wake wengine wakiangalia tu.
Untouchable ! Duh !
 
5.Tunapata habari mwanafunzi Nusra Hassan ati kafia Moshi kilimanjaro kwa kipigo cha mpenzi wake.
Jina la mpenzi wake halijulikani.

6. Hospitali huko Himo Moshi, inakanusha kumpokea Nusra hospitalini hapo.

7. Taarifa mkanganyiko za kifo cha Nusrat Hassan toka chuoni kwake UDOM, zinakubali kutokea kifo lakini hazielezi mazingira wala sababu za kifo, wala kama wameripoti polisi.
Nilishangaa kuona VC wa UDOM anataja chanzo cha kifo cha mwanafunzi wake, hii ni dhahiri hili ni genge la wahuni, wanalipana posho kwaajili ya kuficha kosa la waziri
 
Nilishangaa kuona VC wa UDOM anataja chanzo cha kifo cha mwanafunzi wake, hii ni dhahiri hili ni genge la wahuni, wanalipana posho kwaajili ya kuficha kosa la waziri
If true kama Taifa we are LOST !!
 
Duh! Ila kwenye hili ishu ni nini haswa! Mtu kufa kwenye ajali!!? Fumanizi!!? Kumjua aliekufa kwenye ajali!!? Kupotea/kifo cha mwanafunzi wa chuo!!? Au ni nini

Na tukisha yajua hayo yanatusaidia nini kimsingi tukiwa kama wananchiView attachment 2612299
Ni sahihi waziri kutumia gari la unma kwenda kufanya zinaa?

Ni sahihi mtu kufa kifo cha utata na kusiwe na uwajibikaji wowote ?

Vipi angekuwa dada yako ndiyo kakutana na kadhia hiyo ungekuwa na mtazamo huu ulionao ?
 
Nadhani serikali apambane na mambo muhimu maana hata Rais atakuwa na Kazi ngumu kupamabana na wazinzi . Tujifunze kuhakikisha uwabikaji unaelekea Katika Mambo ya muhimu tu.
Fukuza wazinzi weka waadilifu just as simple as that !!
 
Duh! Ila kwenye hili ishu ni nini haswa! Mtu kufa kwenye ajali!!? Fumanizi!!? Kumjua aliekufa kwenye ajali!!? Kupotea/kifo cha mwanafunzi wa chuo!!? Au ni nini

Na tukisha yajua hayo yanatusaidia nini kimsingi tukiwa kama wananchiView attachment 2612299
Wewe ni mpumbavu wa mwisho katka dunia hii.Punga kabsaa
 
. Ndugu wa Marehemu Nusra isivyo kawaida hawajajitokeza hadharani kudai taarifa sahihi za kifo cha ndugu yao.
Wamekula mshiko wa maana hao, na si ajabu walikuwa wanufaika wakubwa wa hela za naibu waziri kupitia marehemu enzi za uhai wake.

Hawa wanaojiita viongozi ni wa hovyo sana
 
Kila siku Ni siku ya kujifunza Jambo jipya. Naomba kufahamu kisheria ingekuwa vipi kama scenario ya ajali ingekuwa kinyume chake cha aina ya ajali hii.... Kisheria ingekuwa vipi?? Ili iwe fundisho kwa michepuko mingineyo??😂🙊
 
Kulinda taswira yake kama mtumishi BORA wa Umma ??! Hapo bado sijakuelewa vizuri !!!
Ndio mkuu, sasa huoni kama asingekimbia na mke angemfumania hapo batani, si angemuwashia moto na video zingesambaa sana mitandaoni?
 
Back
Top Bottom