Dodoma: Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange apata ajali akiendesha gari
ni kwamba tunataka kushiriki lawama na kutoaminika kama taifa kwa ajili ya mtu mmoja mwenye dereva na aliyekuwa anaendesha gari ya serikali usiku bila kuwa na dereva? alikuwa anaenda ofisi gani usiku? ni mtanzania pekee mwenye uwezo kushika hiyo nafasi ya ofisi yake? ukiboronga jiandae kulipa garama peke yako hatutakiwi kumlipia garama kwa kufichaficha mambo wakati hatukuwa tunamlala nusra kwa pamoja. you mess up in your life, carry our own cross.
 
Kwam wakisema wakiwa alikuwa na huyo waziri shida nin achafuke tu ashajichafua
 
Wanatumia nguvu ya pesa binti anapelekwa batani na vx v8 Nusrat mrembo wa Singida hasingeweza kuchomoa
Alafu huyo waziri mshamba kweli
Unamfataje mlupo na gari linaloonekana
Wakati anajijua yeye ni chata,kwann asingetumia bajaji au taxi tu
Tatizo waheshimiwa sahv huko ufuska wajisahau wanaufanya mpaka
Hadharani watu wanawachora tu

Ova
 
Alafu huyo waziri mshamba kweli
Unamfataje mlupo na gari linaloonekana
Wakati anajijua yeye ni chata,kwann asingetumia bajaji au taxi tu
Tatizo waheshimiwa sahv huko ufuska wajisahau wanaufanya mpaka
Hadharani watu wanawachora tu

Ova
Na ile ndinga ndo imefanya hata mke wake atonywe. Yule naibu kweli akili zake ndogo
 
Yule naibu ilitakiwa tumfungulie kesi ya kuchezea kodi za wavuja jasho Watanzania lile gari lina thamani kubwa sana haiwezekani umalaya wake utuingizie hasara kizembe vile
 
Back
Top Bottom