Dodoma: Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange apata ajali akiendesha gari
Solution ninkuomba talaka kila mtu aishi maisha yake.
Maisha sio kukimbizana its all about happiness.

Mtu unakuta alishindwa na mama yake utamuweza wewe? Mimi sipendagi vurugu nikiona mtu kanishinda na quit.

Yaani unakomalia mtu malaya akuletee ukimwi? Oh come on.

Mimi hata niambiwe yuko pale hoteli fulani na mwanamke fulani..hata sms simtumii namsubiria nyumbani nifanye maamuzi.

Maisha yenyewe haya mafupi na mwanaume aanze nitia stress!msichokielewa ni kuwa mpaka mtu anacheat , weww huna nafasi tena so what are you wanting for? Just divorce!!!

Kazi ninayoifanya almost kila mwezi lazima nikutane na mambo ya matalaka..ukimsikiliza mwanaume ukamsikiliza na mwanamke kila mtu unaona yuko sawa ila kuachana ndo dawa.
Wewe unasema tu hujui ukubwa wa viatu vya huyo dada, Kwanza hakuna mwanaume anayekubali kosa la kuchepuka, utadai talaka Kwa ushahidi upi?
Ukute kaandaa fumanizi Ili apate ushahidi WA uhakika WA kudai talaka.
 
Vyovyote utakavyo ni judge sawa tu ila ni ujinga kumfumania mtu ambae ulikuta akiwa na meno 32, tena unakuta maskini labda ulikuta ana watoto na mama tofauti eti leo waenda mfumania?

For a woman " If you can't handle your man at y'r home (privately)you will never handle your man in public"

Coz ukishamtia aibu ndo anaenda kukuacha kabisaaa hiyo ni point of no return.

Ndo maana nasisitiza mtu akikushinda omba talakaaaaaa
Dah I think to marry you [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wanawake Huwa tunahisi jambo mapema tu kabla na hata ukibadilika Huwa tuna notice tunapiga kimya. Yani tuna machale ka majasusi wabobevu ni vile tu mengine Huwa tunawaza. [emoji28][emoji28] Hafu ukifumaniwa hata dudu ka lilikuwa limesimama linanyewa [emoji28][emoji28][emoji28]usicheze na fumanizi
mi nilishanyosha mikono ogopa sana mwanamke anaongea na mtoto mchanga kabisa ambae hajui kitu na wanakua na furaha hadi wanaelewana ,ndio mimi naejua kuongea ashindwe kunidadisi
 
Sio personal. HARUHUSIWI KUENDESHA STL wala STM.

Hapo dereva afukuzwe na uyu awajibishwe.
Dereva angewezaje kutotii anachoambiwa na boss wake? Sijaona kosa la dereva.

Huyo aliyeshupaza shingo akatumia nafasi yake vibaya ndio awajibike na mambo yake.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mwambie Kuna wakati mwanaume lazima awe baba!Sasa baba gani Kama huyo waziri analeta aibu kwenye familia na Taifa kwa ujumla,wakati angesimama piga biti moja Kali sana wife angetangulia nyumbani unadhani nyumbani asingemuelewa?lazima mwanaume uwe na medani bwana sio unakuwa bwegebwege tu
Labda anajua mkewe angemjazia nzi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwambie Kuna wakati mwanaume lazima awe baba!Sasa baba gani Kama huyo waziri analeta aibu kwenye familia na Taifa kwa ujumla,wakati angesimama piga biti moja Kali sana wife angetangulia nyumbani unadhani nyumbani asingemuelewa?lazima mwanaume uwe na medani bwana sio unakuwa bwegebwege tu

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]nikiwa nasoma Hii post yako kuna siku nilimfuma mme nikakiwasha ikabidi wajeda wenzie wajae pale kikao kilikuwa [emoji91][emoji91]na mme akawa anataka niondoke usiku huo kama siwezi kutulia Yani alinibadilikia kama sio yule anaenibembeleza kila siku nyumbani.Nilipousoma mchezo nikawa mpole [emoji2][emoji2]mashemeji wakatusuluhisha tukarudi nyumbani kimya kimya
Kufika chumbani tu jamaa akapiga magoti fastaa ananikumbatia miguu nimsamehe
Aisee nilipata hasira nikakuta nimemlamba mabao mawili ya fasta fasta kwa kuniabisha kule kwa wenzie
Anyway usiku huo huo tuliyamaliza yakaisha
 
Ndiyo hao sifiasifia

Kuna waziri mmoja mdogomdogo hivi wa Uingereza alionekana akipita barabarani na mama mmoja wa mtaani huko
Kuna haja Ipatikane Katiba mpya itakayokuwa na uwezo wa kuwawajibisha hawa wahuni

Hizo nafasi wawe wanaziomba sio kuteuliwa
 
Wanawake Huwa tunahisi jambo mapema tu kabla na hata ukibadilika Huwa tuna notice tunapiga kimya. Yani tuna machale ka majasusi wabobevu ni vile tu mengine Huwa tunawaza. [emoji28][emoji28] Hafu ukifumaniwa hata dudu ka lilikuwa limesimama linanyewa [emoji28][emoji28][emoji28]usicheze na fumanizi
Masta😂
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]nikiwa nasoma Hii post yako kuna siku nilimfuma mme nikakiwasha ikabidi wajeda wenzie wajae pale kikao kilikuwa [emoji91][emoji91]na mme akawa anataka niondoke usiku huo kama siwezi kutulia Yani alinibadilikia kama sio yule anaenibembeleza kila siku nyumbani.Nilipousoma mchezo nikawa mpole [emoji2][emoji2]mashemeji wakatusuluhisha tukarudi nyumbani kimya kimya
Kufika chumbani tu jamaa akapiga magoti fastaa ananikumbatia miguu nimsamehe
Aisee nilipata hasira nikakuta nimemlamba mabao mawili ya fasta fasta kwa kuniabisha kule kwa wenzie
Anyway usiku huo huo tuliyamaliza yakaisha
Huyu ndo mwanaume sasa🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom