Dodoma: Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange apata ajali akiendesha gari
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]nikiwa nasoma Hii post yako kuna siku nilimfuma mme nikakiwasha ikabidi wajeda wenzie wajae pale kikao kilikuwa [emoji91][emoji91]na mme akawa anataka niondoke usiku huo kama siwezi kutulia Yani alinibadilikia kama sio yule anaenibembeleza kila siku nyumbani.Nilipousoma mchezo nikawa mpole [emoji2][emoji2]mashemeji wakatusuluhisha tukarudi nyumbani kimya kimya
Kufika chumbani tu jamaa akapiga magoti fastaa ananikumbatia miguu nimsamehe
Aisee nilipata hasira nikakuta nimemlamba mabao mawili ya fasta fasta kwa kuniabisha kule kwa wenzie
Anyway usiku huo huo tuliyamaliza yakaisha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wewe umeolewa na MWANAMME!Mtunze sana mumeo shosti.....Hiyo ndio type na mwanamme nazitaka Mimi....
 
Sijui wewe ulienitusi ni mke au mme, lakini kama mke, ngoja nikwambie ukweli ambao kama hujaolewa au umeolewa utakuja kunikumbuka siku moja.

Kwanza wazungu wanapokuja afrika, hakuna mwanamume waliyemkuta na mke mmoja, yaani babu zetu waliwakuta wakiishi na wake zaidi ya mmoja kwa raha na mstarehe, lakini wao ndiyo walioreta propaganda ya mke mmoja.

Hivi unajua kalibu mitume wote wa Mwenyezi Mungu walikuwa na mke mmoja, Ibrahimu aliikuwa na wake watatu, Yakobo wawili n.k

Unajua faida ya kuwa na mke mmoja,jiulize unapotoka kuzaa kipindi cha siku 40 mmeo anaishije? Au anapotoka safari na kukukuta uko kwenye siku zako? Na kumbuka wanaume wamegawanyika, kuna wenye nguvu za Vifaru, Malori na pikipiki mbovu, hawawezi kulingana

Kinachotokea ni kwamba Waisilamu wamerahisisha mke zaidi ya mmoja, na Wakristo wanamichepuko kuanzi mapadiri, wachungaji, mpaka waumini wa kawaida,

Kama uamini utaamini siku akifa muhusika, wanapojitokezaga wanawake wengine wanaodai kuzaa na marehemu mumeo wakiwa na watoto waliofanana na muhusika
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]nikiwa nasoma Hii post yako kuna siku nilimfuma mme nikakiwasha ikabidi wajeda wenzie wajae pale kikao kilikuwa [emoji91][emoji91]na mme akawa anataka niondoke usiku huo kama siwezi kutulia Yani alinibadilikia kama sio yule anaenibembeleza kila siku nyumbani.Nilipousoma mchezo nikawa mpole [emoji2][emoji2]mashemeji wakatusuluhisha tukarudi nyumbani kimya kimya
Kufika chumbani tu jamaa akapiga magoti fastaa ananikumbatia miguu nimsamehe
Aisee nilipata hasira nikakuta nimemlamba mabao mawili ya fasta fasta kwa kuniabisha kule kwa wenzie
Anyway usiku huo huo tuliyamaliza yakaisha
Umeshapata Mume haraka namna hii Mdogo wetu?
Au ile Post yako ulikuwa unamwandikia mtu?
 
Solution ninkuomba talaka kila mtu aishi maisha yake.
Maisha sio kukimbizana its all about happiness.

Mtu unakuta alishindwa na mama yake utamuweza wewe? Mimi sipendagi vurugu nikiona mtu kanishinda na quit.

Yaani unakomalia mtu malaya akuletee ukimwi? Oh come on.

Mimi hata niambiwe yuko pale hoteli fulani na mwanamke fulani..hata sms simtumii namsubiria nyumbani nifanye maamuzi.

Maisha yenyewe haya mafupi na mwanaume aanze nitia stress!msichokielewa ni kuwa mpaka mtu anacheat , weww huna nafasi tena so what are you wanting for? Just divorce!!!

Kazi ninayoifanya almost kila mwezi lazima nikutane na mambo ya matalaka..ukimsikiliza mwanaume ukamsikiliza na mwanamke kila mtu unaona yuko sawa ila kuachana ndo dawa.
Sikujuaga kama una akili kubwa kiasi hiki.
Kwenda kufamania ni kujidhalilisha katika jamii, ni kupiga tarumbeta kwa dunia waone madhaifu ya mahusiano yenu.
Ninakupongeza kama ni kweli usemayo
 
Kwani wakali mnatupenda basi?
Hapa Sasa usichanganye Mambo,Kuna ukali wa kuwa kiongozi wa familia halafu Kuna Gubu!yaani Gubu ww kila saa Nongwa yaani unaanzisha tu vimambomambo Hapana😂😂😂
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe umeolewa na MWANAMME!Mtunze sana mumeo shosti.....Hiyo ndio type na mwanamme nazitaka Mimi....

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]wanaume wanaweza kukupa aibu hadharani na ndani wakakulilia vibaya
 
Back
Top Bottom