Barbiedoll
JF-Expert Member
- Apr 7, 2023
- 772
- 2,150
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umeona eeeh,eti mwanaume anakimbia jamani Hadi anapinduka khaaa 🤣🤣🤣🤣ningekuwa wife ningemkata makofi hukohuko general ndio tuendelee kuuguzana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umeona eeeh,eti mwanaume anakimbia jamani Hadi anapinduka khaaa 🤣🤣🤣🤣ningekuwa wife ningemkata makofi hukohuko general ndio tuendelee kuuguzana
Afu sasa umkute ana gubu na ela hana au anazo afu hatoi🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hapa Sasa usichanganye Mambo,Kuna ukali wa kuwa kiongozi wa familia halafu Kuna Gubu!yaani Gubu ww kila saa Nongwa yaani unaanzisha tu vimambomambo Hapana😂😂😂
Hawapo mama Alisha Sema Kila mtu ale usawa wa Kamba yake.Itaondoa uzembe mwingi sana Serikalini
Hivi hata ukiangalia uchangiaji wangu nina gubu?Hapa Sasa usichanganye Mambo,Kuna ukali wa kuwa kiongozi wa familia halafu Kuna Gubu!yaani Gubu ww kila saa Nongwa yaani unaanzisha tu vimambomambo Hapana😂😂😂
Haaaaaaah baharia alitisha sana kuna demu alinifumania nilimchimba beat akanywea kimya[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]nikiwa nasoma Hii post yako kuna siku nilimfuma mme nikakiwasha ikabidi wajeda wenzie wajae pale kikao kilikuwa [emoji91][emoji91]na mme akawa anataka niondoke usiku huo kama siwezi kutulia Yani alinibadilikia kama sio yule anaenibembeleza kila siku nyumbani.Nilipousoma mchezo nikawa mpole [emoji2][emoji2]mashemeji wakatusuluhisha tukarudi nyumbani kimya kimya
Kufika chumbani tu jamaa akapiga magoti fastaa ananikumbatia miguu nimsamehe
Aisee nilipata hasira nikakuta nimemlamba mabao mawili ya fasta fasta kwa kuniabisha kule kwa wenzie
Anyway usiku huo huo tuliyamaliza yakaisha
Hao walikuwa wanawake WA zamani za kale, wanawake wa siku hizi wanavuta bangi, umfumanie halafu umpige biti?🤣🤣🤣🤣 Labda Kama humtaki tena
Huyu ndo mwanaume sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wakiziomba inatengeneza Kweli Ndalichako angepata uwaziri ?Itaondoa uzembe mwingi sana Serikalini
Kwa hiyo ungekuwa wewe ungekimbia?Labda anajua mkewe angemjazia nzi
Kwenye dwala la talaka mahakamani ni jinsi wewe ulivyoielezea mahakama kwa ufasaha.Wewe unasema tu hujui ukubwa wa viatu vya huyo dada, Kwanza hakuna mwanaume anayekubali kosa la kuchepuka, utadai talaka Kwa ushahidi upi?
Ukute kaandaa fumanizi Ili apate ushahidi WA uhakika WA kudai talaka.
Haaaaaaah baharia alitisha sana kuna demu alinifumania nilimchimba beat akanywea kimya
Nipunguze Ngebe aje[emoji1]Kwa akili yako haya maelezo ni ya post ya juzi
Tulia punguza ngebe don’t take Jf too serious
Mwanamme ndio pumbafu kamuendekeza huyo mkewe...Nakazia ni mwanamke pumbafffff hiyo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tuna Waziri anae chepuka?
Huenda hiyo kauli ilipomnyoka, ila lazima kuwe kuna uwajibikaji kwa matendo kwa hao Watumishi wa UmmaHawapo mama Alisha Sema Kila mtu ale usawa wa Kamba yake.
Kanikera sana.....pole mydia Kuna watu wako hursh sana bila sababuNipunguze Ngebe aje[emoji1]
Sasa kukuuliza hivyo ndiyo u'jam namna hii Surely!!!!!
It's Okey Dear...Kanikera sana.....pole mydia Kuna watu wako hursh sana bila sababu
Mkuu awamu ya Pili =Awamu ya SitaHuenda hiyo kauli ilipomnyoka, ila lazima kuwe kuna uwajibikaji kwa matendo kwa hao Watumishi wa Umma