Dodoma: Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange apata ajali akiendesha gari
Dr. Wa Muhimbili. Alikuwaga DMO Kinondoni na RMO kule Simiyu.
Amepiga kitabu tatizo mbinu za kuchepuka ndio akasome.
Kumbe ndio huyu niliskia madaktari wenzake wakiongea yeye kugombea sikujua kuwa ni Dr by profession, Ina onyesha mshamba kavamia fani ya uchepukaji kichwa kichwa awaachie wazoefu
 
Mi habari za michepuko naona ushamba tu kuna vitu unaweza kuvunga tu ili uwe na maendeleo makubwa kujipa heshima katika jamii.

Mfano; Wewe ni mkuu katika Taasisi au kiongozi katika nyanja yeyote ila then wale walioko chini yako unawatongoza wakati unajua kabisa umeshaoa ...Hii haileta picha duniani kuna vingi tunatamani hata maendeleo ila tupo limited hata ukiwa na wanawake wote na pesa kama Musk bado utafuta tena hii ni asili ya binadamu.

Binadamu aliyecontrol tamaa zake na kuridhika ni mbora zaidi ,Greedy ni kawaid ila unaweza kulind heshima.


Baadhi ya viongi wanaiba mabillion ila wakija kustaafu au kufa unasikia familia zao zinapata tabu mara mikopo bank
.Kumbe zile pesa ni kubudumia mahawara na kuwapa jeuri na life style ya hanasa ..


Imagine dunia ya sasa ukiwa na watoto wako na ndoa basi ushamaliza kweny ishu to ya mapenzi then angalau maendeleo ya wanao sijui mambo madogo kama hayo unakuja kuvunja ndoa then watoto wanateseka kwa ujinga ambao unaweza kuepuka.
 
Saz
Sasa hapo kosa ni la mwanamke tena? 🤣🤣🤣 Mnajuaje Kama mume alikuwa anampiga na kumdharau kisa michepuko? Ukute ndoa ilimshinda alichokuwa anahitaji ni ushahidi tu Ili adai talaka.
Halafu afike eneo la tukio mume amfokee, 🤣🤣🤣 Labda angekuwa hajitaki.

Kudai talaka kwa mume na mzazi mwenzio ni haki yako lakini lazima uhakikishe wadau wa ndoa yenu haswa watoto na nyie wenyewe hamuathiriki kisaikolojia sababu bado mnategemeana.
Ningemwona ana busara kama angemchukua mzazi, msimamizi wa ndoa au baba wa kiroho wakashuhudia kimyakimya kuliko kuzua hizi taharuki zitakazokuja kusomwa na watoto wajukuu hadi vitukuu mitandaoni
 
Mi habari za michepuko naona ushamba tu kuna vitu unaweza kuvunga tu ili uwe na maendeleo makubwa kujipa heshima katika jamii.

Mfano; Wewe ni mkuu katika Taasisi au kiongozi katika nyanja yeyote ila then wale walioko chini yako unawatongoza wakati unajua kabisa umeshaoa ...Hii haileta picha duniani kuna vingi tunatamani hata maendeleo ila tupo limited hata ukiwa na wanawake wote na pesa kama Musk bado utafuta tena hii ni asili ya binadamu.

Binadamu aliyecontrol tamaa zake na kuridhika ni mbora zaidi ,Greedy ni kawaid ila unaweza kulind heshima.


Baadhi ya viongi wanaiba mabillion ila wakija kustaafu au kufa unasikia familia zao zinapata tabu mara mikopo bank
.Kumbe zile pesa ni kubudumia mahawara na kuwapa jeuri na life style ya hanasa ..


Imagine dunia ya sasa ukiwa na watoto wako na ndoa basi ushamaliza kweny ishu to ya mapenzi then angalau maendeleo ya wanao sijui mambo madogo kama hayo unakuja kuvunja ndoa then watoto wanateseka kwa ujinga ambao unaweza kuepuka.
Waheshimiwa wengi wakiwa dodoma
Kwanza wanaulimbukeni na K
Kwenye bar,club huko mtajikuta mnapigana vikumbo kugombea madem
Mara nyingi wao huwa wanashinda maana madem wengi target yao ni wao tu
Waheshimiwa huko wapunguze kukueupuka na totoz

Ova
 
Sasa off she goes zinatoka wapi mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] au anaeda kupumzika anarudi?
Kumbe hukunielewa ,
Swala la kuoa au kukaa na mwanamke bandit has a lot to do with men weakness, ukiwa smart mwanamke mbabe anajulikana kwenye hatua za mwanzo kabisa ,
Huyu wa kukaa miaka yote hiyo alipitia vetting kadhaa na nikajiridhisha kuwa nipo safe kwenye hiyo angle ya kunipanda kichwani
 
Back
Top Bottom