My Name is J
Member
- Jul 10, 2021
- 45
- 83
Wenye fedha huwa wanasema wanatafuta pia na power(mamlaka). Ndio maana uliona rostam, Mo walienda kwenye ubunge. Manji akaenda kwenye udiwaniKwanini hakubaki kuwa RMO kama alikuwa na fedha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye fedha huwa wanasema wanatafuta pia na power(mamlaka). Ndio maana uliona rostam, Mo walienda kwenye ubunge. Manji akaenda kwenye udiwaniKwanini hakubaki kuwa RMO kama alikuwa na fedha?
Hawa walikuwa wanalinda biashara zao na hakuna kingineWenye fedha huwa wanasema wanatafuta pia na power(mamlaka). Ndio maana uliona rostam, Mo walienda kwenye ubunge. Manji akaenda kwenye udiwani
Kweli alifloat maana wakati anaongea alikuwa bado kakaa kitandan 😄Mkuu umeamua kupasua jibu. Jamaa kalishwa dawa na kahaba akafloat. Anaaamka kakuta kila kitu kimeibiwa, ili kuzima issue ikabidi Waite ITV na kutangaza kuwa Naibu Waziri kavamiwa na majambazi hotelini.
Ninaweza kuishi bila ngono bwana.Nyie hamuwezi kwani?Akipooza na wewe hamu zako atakuondolea nani?
Nina imani atakuwa amejifunza, muhimu umuombee apone ili akirudi apate muda wa kukaa na familia
Hii imekaaje?hebu niambie hapo Nani sterling wa movie Clepatina
Kama ambavyo baadhi ya mawaziri wasivyo na maadili, ndivyo ilivyo kwa kada zingine vilevile.Serious?
Mbona hao madereva wanakula kiapo cha Siri?
Kuna dereva anapewa mahitaji apeleke nyumba kubwa na ndogo na hutakaa usikie amefungua mdomo kusema
Uzinzi hauna dini, Mfalme Selemani alikuwa na wake 300 na hakuacha kuchepuka, babake (mfalme Daudi) alikuwa na mke zaidi ya mmoja lkn bado akachepuka na mke wa mtumishi wake. Usihukumu au kusifu dini ya mtu kwa matendo ya waumini. Funguka!Uislam mwema sana, angekuwa Muislam angekuwa na mke zaidi ya mmoja kihalali kabisa.
Hakika, kila msiba ni mawaidha kwa tulio hai.
Halafu anapindua gari unaruka unakata roho,yeye na darling wife wanaendelea na Maisha.Imagine ulikua unajibebisha zako pale front seat ghafla maza hous huyu hapa gari inaanza kukimbizwa utadhan imebeba gunia za bange kumbe ni wewe ndo unakimbizwa darling wife asikuone?!I cant
Am good rafiki🙏sijui wewe🤔Bora niombee yatima na wajane.
We niambie hali yako ikoje rafiki yangu
Alikuwa anakosema yeye maana sifa zote anazoMwigulu aliongea hata juzi Kanisani kwamba ni kosa kudhani viongozi Wana maadili akisema Viongozi wengi ni watovu wa maadili.
Mungu mwema, naendelea vyema rafikiAm good rafiki🙏sijui wewe🤔
🏃🏃🏃🏃MITHALI 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
😄😄"Mapenzi yanarun dunia"
usichukulie urijali kufanya mambo ya hovyo.Mwanaume atabaki kuwa mwanaumeee tu.. Kama mpaka Rais anakuwa na kimadaaa ndo mawazirii acheni kumhukumu jamaaa Ajali imetokea bahati mbaya tuu.
🤣🤣Wawazoee tuSijasema hivyo, lkn hali ndio hiyo
Sasa mtu anakwenda na gari ya serikali, na plate number inaonyesha kabisa ni gai ya nani? Huyo anatakiwa akipona aende hata short courses CUBA....Dodoma kunaonekana wanawake wako tayari na Chupi Mkononi....na wanaunme zipu zimeshavunguliwa.....Angewauliza wasoma Cuba, alishindwa enda hotelini za nje ya mji kimya kimya bila hata kutumia usafiri wa serikali?
ila Dodoma watu wanakulana sanaaa
Huyo ni just 0.01% ya watu wanaotumia Mali za umma kwenye masuala Yao binafsi,don't take it personal kisa kiongozi mmoja kapata ajali. Muonee huruma na kumsaidia sio kumuona boya wakati ni mambo ya bahati tu.Malipo ni hapa hapa duniani, tunanyonywa tulio wengi wanaenda kutapanya !!