Dodoma: Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange apata ajali akiendesha gari
Mkuu umeamua kupasua jibu. Jamaa kalishwa dawa na kahaba akafloat. Anaaamka kakuta kila kitu kimeibiwa, ili kuzima issue ikabidi Waite ITV na kutangaza kuwa Naibu Waziri kavamiwa na majambazi hotelini.
Kweli alifloat maana wakati anaongea alikuwa bado kakaa kitandan 😄
 
Uislam mwema sana, angekuwa Muislam angekuwa na mke zaidi ya mmoja kihalali kabisa.

Hakika, kila msiba ni mawaidha kwa tulio hai.
Uzinzi hauna dini, Mfalme Selemani alikuwa na wake 300 na hakuacha kuchepuka, babake (mfalme Daudi) alikuwa na mke zaidi ya mmoja lkn bado akachepuka na mke wa mtumishi wake. Usihukumu au kusifu dini ya mtu kwa matendo ya waumini. Funguka!

Vv
 
Imagine ulikua unajibebisha zako pale front seat ghafla maza hous huyu hapa gari inaanza kukimbizwa utadhan imebeba gunia za bange kumbe ni wewe ndo unakimbizwa darling wife asikuone?!I cant
Halafu anapindua gari unaruka unakata roho,yeye na darling wife wanaendelea na Maisha.
 
Mambo ya Andrew Chenge yamejirudia!
Tofauti ni mke ndio alie wagonga mchepuka na rafiki yake rest in peace beautiful and young girls![emoji22]
 
Angewauliza wasoma Cuba, alishindwa enda hotelini za nje ya mji kimya kimya bila hata kutumia usafiri wa serikali?

ila Dodoma watu wanakulana sanaaa
Sasa mtu anakwenda na gari ya serikali, na plate number inaonyesha kabisa ni gai ya nani? Huyo anatakiwa akipona aende hata short courses CUBA....Dodoma kunaonekana wanawake wako tayari na Chupi Mkononi....na wanaunme zipu zimeshavunguliwa.....
 
Malipo ni hapa hapa duniani, tunanyonywa tulio wengi wanaenda kutapanya !!
Huyo ni just 0.01% ya watu wanaotumia Mali za umma kwenye masuala Yao binafsi,don't take it personal kisa kiongozi mmoja kapata ajali. Muonee huruma na kumsaidia sio kumuona boya wakati ni mambo ya bahati tu.
 
Back
Top Bottom