Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Napata tabu sana na huyu mama ata bachelor yake ni hesabu watu wachache wenye uwezo wa kufanya hiyo degree, she is supposed to be very clever.Ndalichako alikua best student enz zake huko sekondari...yaan Tanzania one...shaur yako.
Can you imagine anachokifanya ni kosa la jinai ...anawa insight wananchi dhidi ya viongozi wa serikali.. anawaambia wasiwatii mawaziri na maafisa wa serikali wanaokaa maofisini na kutembelea magari yenye AC ( tofauti na yeye anayetembelea Punda.) Last time I checked ata bosi wake wa Tamisemi, waziri mkuu na Rais wote Wana office na gari zao zina AC pia...Mtaka kakosea Sana no matter what people say.. sijawahi kuona kiongozi mkubwa wa serikali akiwahamasisha wananchi kuwadharau viongozi wa kitaifa Kwa kuwasema maisha Yao binafsi..if he stays then waziri wa elimu na Tamisemi should resign otherwise tabia hii itaendelea ambapo kila mkuu wa Mkoa ataamua kuwaambia wananchi wasiwasikilize mawaziri,and then waziri mkuu au Rais .. baadae wao ma RC ndio watakua Bosi kubwa wa mikoa.. mawaziri watakosa sehemu za kutawala na eventually anayewateua...kama angekua na wazo tofauti na Waziri angeshauri Kwa staha tofauti na alivyofanya ... implication ya alichosema ni kubwa Sana..Ila naona watu wanaichukulia poa... alichosema ni Sawa na mkuu wa JKT awaambie vijana wasimsikilize Mnadhimu au CDF Kwa sababu wao wanakaa tuu ofisini upanga wanakula kiyoyozi na watoto wao hawaendi Kambi za JKT na kukaa field kama wao.wajuzi watujuze kwanza watoto wa RC mtaka wao wanasoma wapi shule gani anuai....? au kiongozi yeyote cabinet minister , RC au mtunga sera yeyote mwenye kutembelea kiyoyozi au bendera yeye watoto wake wao wanasomea wapi shule gani za kata au serikali msingi na sekondar?
Amejiharibia sana huyu, hajaweza kudhibiti ulimi wake, yawezekana nia yake ni njema lakini hajatumia diplomasia kumnanga kiongozi mwenzake jukwaanni
Ni mwalimu wangu mzuri mno amenifundisha Educational Statistics wakati nasoma undergraduate, na anaijua kuliko kawaida.Yule mama wa kawaida sana
safi sanaMataka awaasa wananchi wampuuze Waziri wa Elimu kuhusu mambo ya elimu Kwenye mkoa wa Dodoma.
Mataka amesema wampuuze Waziri ambaye watoto wake wanasoma international school.
Sikiliza audio hapo.
Mama Ndali umezoea kuwaonea wakuu wa taasisi za elimu halafu system inakuangalia tu.
View attachment 1851200
Ndalichako ni Waziri wa kawaida sana. Tokea aingie Wizarani ni kufitinisha tu wenzake.
Wakuu wa taasisi wanamkoma huyu Mama. Wakuu wa idara Wizarani wanaipata habari yake.
Ndalichako badilika Mama Samia yupo tofauti na mwendazake.
Hakuna thamani uliyoongeza hapo Wizarani zaidi ya kufitinisha wakurugenzi na mamlaka za uteuzi.
Tabia ya kuwafitinisha wenzako waondolewe kwenye uteuzi acha mara 1.
Ndalichako alishindwa Baraza la Mitihani kwa ubishi wake ilikuwaje apewe Wizara.
Mama Samia tuondolee huyu Ndali
View attachment 1851425
Mzee ..elimu ya darasani tofautisha kabisa na uhalisi ulipo kule nje..... uNAZUNGUMZA SIJUI UNAJUA HILO? AU NDIYO WALE MNAOITIKIA NDIYO MZEE!Ni mwalimu wangu mzuri mno amenifundisha Educational Statistics wakati nasoma undergraduate, na anaijua kuliko kawaida.
Wanawake wa Kigoma kwa ujumla hawana majivuno ni wakarimu, wana nidhamu ya hali ya juu mno tena ile natural. Nimekaa Kigoma mwaka mzima nawajua mno hawa watu. Nasikitika sana kwa kilichotokea. Huyu mama inabidi amsamehe tu Mh. Mkuu wa Mkoa ameteleza kidogo katika ule ubinadamu wa kawaida tu
Lakini na nyie mitandao sasa msiendelee kuweka kuni kwenye moto
Ndalichako ni waziri wa JF na sisi ndio tuliopiga kelele apewe wizara msisahau.Mataka awaasa wananchi wampuuze Waziri wa Elimu kuhusu mambo ya elimu Kwenye mkoa wa Dodoma.
Mataka amesema wampuuze Waziri ambaye watoto wake wanasoma international school.
Sikiliza audio hapo.
Mama Ndali umezoea kuwaonea wakuu wa taasisi za elimu halafu system inakuangalia tu.
View attachment 1851200
Ndalichako ni Waziri wa kawaida sana. Tokea aingie Wizarani ni kufitinisha tu wenzake.
Wakuu wa taasisi wanamkoma huyu Mama. Wakuu wa idara Wizarani wanaipata habari yake.
Ndalichako badilika Mama Samia yupo tofauti na mwendazake.
Hakuna thamani uliyoongeza hapo Wizarani zaidi ya kufitinisha wakurugenzi na mamlaka za uteuzi.
Tabia ya kuwafitinisha wenzako waondolewe kwenye uteuzi acha mara 1.
Ndalichako alishindwa Baraza la Mitihani kwa ubishi wake ilikuwaje apewe Wizara.
Mama Samia tuondolee huyu Ndali
View attachment 1851425
Umemsikiliza RC lakini? Nini maana ya wazazi na waalimu wakubaliane?Syllabus ipo, Work plan ipo, huhitaji kukaa hadi saa 10.
Sheria inataka mwalimu asilazimishwe kukaa overtime na hata akikubali alipwe overtime.
Sasa umlipe overtime wakati mshahara tu mbinde.
Kwa namna alivyoliongelea hilo suala ni kama ana clue fulani ya kutenguliwa kwa waziri ivyo anapigilia msumari.Mtaka yupo sahihi kuhusu Kambi zake. Lakini approach ya kumjibu waziri, yaani mteule wa rais hivi kuna mushkeli kidogo. Labda yupo undercover ili kumexpose waziri kurahisisha uamuzi wa mamlaka
Hata mimi kila siku nawaambia hapa mbona Mtaka ni mtu mwenye maneno matamu naweza kusema ni kama watu wanaomotivate vijana kufanya biashara, huku akijitwika uzalendo ambao bado unamashaka ndani yake. Anamshutumu waziri Ndalichako kwamba watoto wake wanasoma shule international. Yeye Mtaka watoto wake wanasoma shule za day kaka sisi huku mtaani? kama ni kweli sawa, ila kama sio kweli Mtaka ni mnafiki mkubwa. Ajitahidi sana kuwa na weredi kwenye kauli zake maana hata JPM aliyembeba bado alitoa maneno ya shombo kwake. Asiwe mwongeaji sana ajifunze kusikiliza pia. Maana asili ya binadamu ni kujihesabia haki ila mwerevu huchunguza sana mwenendo wake ili asipotee kweye ile kweli.Mtaka ukae ukijua ipo siku ya kwako yatajulikana, wale influencers unaowalipa mtandaoni kukusifia utawalipa hadi lini?
Mtaka ni kiongozi wa hovyo sana ambae anatumia kuchangia na kulipa watu wenye ushawishi mtandaoni ili wamsifie huku yeye akiendelea kupiga madili. Ipo siku mama Samia atakumulika, muda utasema
Mkuu,mpango mkakati hata mtu mmoja. Mmoja anatakiwa kuwa naoSwala la Elimu yetu kufanywa kama mpira wa danadana na kila mmoja kuwa anachezea, ni makosa makubwa sana, mwongozo wa pamoja uko wapi?
Napingana na huyo mkuu wa mkoa wenu pendwa, Inakuweje awe na mpango wa kivyake vyake?
Mkuu wa mkoa wa Songea naye awe na matakwa yake, na wa mikoa mingine, tutakuwa taifa la aina gani?
anajengewa mazingira ya kuchomolewa katika wizara ni swala la muda tu ngoja tusubiri!Mtaka yupo sahihi kuhusu Kambi zake. Lakini approach ya kumjibu waziri, yaani mteule wa rais hivi kuna mushkeli kidogo. Labda yupo undercover ili kumexpose waziri kurahisisha uamuzi wa mamlaka
Fala sana huyu jamaa........yahn wao kuambiwa ukweli kwao kosa .Mtaka anataka kukuza elimu hayo masiasa yenu mpelekeeni Ndalichako,