Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Mwamba katuangusha sana kwa utovu wake wa nidhamu, Sheria na sera za elimu zipo wazi nchini na wizara ina wajibu wa kutoa matamko ya kukumbusha pindi zinapoonekana kutofuatwa! Waziri wa elimu ndiyo mwenye mamlaka ya kutoa muongozo na kauli lakini why MKUU wa mkoa amekuwa mkaidi? Watanzania tuwapinge wote hawa otherwise nchi yetu itakuwa haina mkuu wala kiongozi mwenye mamlaka.