Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Kwani yeye sio mwanasiasa?Amesema hashauriwi na wanasiasa kwa suala la elimu,, hapo hujaelewa nn
Kwa hiyo kila mkuu wa mkoa akija na mpango wake kuhusu elimu ni sawa tu?Amesema hashauriwi na wanasiasa kwa suala la elimu,, hapo hujaelewa nn
Kwa hiyo alichofanya Mtaka ni sawaAcha kumfananisha Mtaka na vitu vya kijinga wewe!
Mbona umeumia sana mkuu, kwani na wewe mtoto wako yuko Canada?Kwa hiyo kila mkuu wa mkoa akija na mpango wake kuhusu elimu ni sawa tu?
Ni mwanasiasa asiye mwoga, mbona kaeleweka vzr tu, kwamba tumuulize waziri na wewe mtoto wako yuko kwenye hizi shule zetu ambazo hazina mwl wa chemistry?Kwani yeye sio mwanasiasa?
Ishu ni kuwa na mtoto canada au kupinga maagizo ya wizara?Mbona umeumia sana mkuu, kwani na wewe mtoto wako yuko Canada?
UnajichanganyaMkuu wa mkoa ulipaswa kwenda kuzungumza na waziri faragha sio public kama hivyo. Hapo umekosea mkuu.
Mkuu wa mkoa anapata nguvu wapi ya kupinga maagizo ya Waziri jamani.
Tena maagizo ya waziri wa elimu jamani tena mbele ya wanafunzi kweli.
Waziri hawezi kuwa chanzo cha mkoa wako kuwa wa mwisho. Kwani Mikoa yote ni ya Waziri, na katika hiyo mikoa lazima mmojawapo uwe wa mwisho na mwingine uwe wa, kwanza hata kama yote ikifaulu vizuri.
Mkoa ukiwa wa mwisho wa kuulizwa ni wahusika wa mkoa huo.
Mpaka lini mtaona haya kumtaja mvurugaji? Ndalichako ni hovyo!Kwani yeye Mtaka anaugomvi na waziri?
Je, kulikuwa na ulazima wa kutaja jina waziri kwenye mikakati yake ya kuinua elimu katika mkoa wake?
Haoni kwamba, tayari amemhasimisha waziri kwa wanafunzi na kwa wazazi kwamba yeye hafai kusikilizwa, na siku ya siku anaweza kuzomewa...?
Hao wote ni wateule wa Rais, kwa nini wasinge fanya chemba kwanza?
Mtaka aache udhalirisha
Umesikiliza clip yote? Ina dakika 14. Unayoyazungumza ameshayafidia na ametoa njia ya nini kifanyike.Mtaka ni wa hovyo, jiulize ni shule gani hiyo ya serikali ambayo kuanzia asubuhi hadi saa 9 walimu walifundisha muda wote? Shule za serikali kuanzia asubuhi hadi saa 9 unaweza kuta wameingia walimu wasiozidi watatu tu.
Umenena vyema sana...Augustino Mrema naye alijiona ana nguvu sana akatofautiana na msimamo wa serikali, Rais Mwinyi wala hakupoteza muda kumuondoa.
..Huyu asipochukuliwa hatua itajenga mfano mbaya na nidhamu inaweza kutoweka ktk wateule wa Raisi.
Faragha ni kwa wanaoweza kusikilizana, vinginevyo ni jambo lusilowezekanaMkuu wa mkoa ulipaswa kwenda kuzungumza na waziri faragha sio public kama hivyo. Hapo umekosea mkuu.
Mkuu wa mkoa anapata nguvu wapi ya kupinga maagizo ya Waziri jamani.
Tena maagizo ya waziri wa elimu jamani tena mbele ya wanafunzi kweli.
Waziri hawezi kuwa chanzo cha mkoa wako kuwa wa mwisho. Kwani Mikoa yote ni ya Waziri, na katika hiyo mikoa lazima mmojawapo uwe wa mwisho na mwingine uwe wa, kwanza hata kama yote ikifaulu vizuri.
Mkoa ukiwa wa mwisho wa kuulizwa ni wahusika wa mkoa huo.
Mkuu wa mkoa hana facts ni siasa tu watoto wanahitaji kupumzika bhana.Mbona Tabora girls na tabora boys zimeshika namba 3&4 kitaifa bila makambi.Aaacha kuja mikakati isiyo na takwimu za ukweliSwala la Elimu yetu kufanywa kama mpira wa danadana na kila mmoja kuwa anachezea, ni makosa makubwa sana, mwongozo wa pamoja uko wapi?
Napingana na huyo mkuu wa mkoa wenu pendwa, Inakuweje awe na mpango wa kivyake vyake?
Mkuu wa mkoa wa Songea naye awe na matakwa yake, na wa mikoa mingine, tutakuwa taifa la aina gani?