Dodoma: RC Antony Mtaka amchana Waziri wa Elimu kuhusu mwisho wa Watoto kusoma kuwa ni saa tisa
Mtaka Hana adabu kabisa. Kungelikuwa Samia I would have fired him. Angelitafuta forum ya staha kusema aliuoyasema na si kubwatuka
How do you know hakuitafuta hiyo forum kwanza ila na yeye akapuuzwa?

Mama Ndalichako ni mbishi sana na haitoshangaza labda akina Mtaka walijaribu kumpa mikakati yao based on circumstances za Mkoa wao ila akawagomea
 
Mataka awaasa wananchi wampuuze waziri wa elimu kuhusu mambo ya elimu Kwenye mkoa wa Dodoma. Mataka amesema wampuuze Waziri ambaye wa to to wake wanasoma international school...
Antony Mtaka umeongea ukweli mtupu

Taratibu na sheria zinazoongoza elimu lazima zizingatie mazingira ya mtoto na mazingira ya shule
 
Swala la Elimu yetu kufanywa kama mpira wa danadana na kila mmoja kuwa anachezea, ni makosa makubwa sana, mwongozo wa pamoja uko wapi?

Napingana na huyo mkuu wa mkoa wenu pendwa, Inakuweje awe na mpango wa kivyake vyake?

Mkuu wa mkoa wa Songea naye awe na matako yake, na wa mikoa mingine, tutakuwa taifa la aina gani?
Suala la kujisomea halijawahi kuwa la kitaifa kijana. Acha mtoto asome kwa uwezo na matakwa yake. Aidha kwa wazembe lazima walazimishwe
Mama Ndalichako has “lost touch with reality”. RC Mtaka yupo sahihi.
Sijui siku hizi amekuwaje? Maskini alikuwa mathematician kipanga. Obvious kwa kuwa alikuwa anabundi pia. Leo uwakataze watoto wasibundi
 
Mtaka Hana adabu kabisa. Nigelikuwa Samia I would have fired him immediately. Angelitafuta forum ya staha kusema aliyoyasema na si kubwatuka mbele za wazazi kumdhalilisha mteule mwenzake. Mtu anaweza kugeneralise kuwa the gov is disunited in it's dealings Amesema màneno ya kishenzi akiwa part of the government machinery.

Hafai kukalia ofisi ya umma.
 
Yuko sahihi sana. Ila hakumlenga Waziri moja kwa moja, kawalenga wafanya maamuzi Wizarani. Mkuu wa Mkoa yupo vizuri sana. Huyu ndio anastahili kuwa Waziri wa Elimu.
Mataka awaasa wananchi wampuuze waziri wa elimu kuhusu mambo ya elimu Kwenye mkoa wa Dodoma.
Mataka amesema wampuuze Waziri ambaye wa to to wake wanasoma international school.

Sikiliza audio hapo.
Mama ndali umezoea kuwaonea wakuu wa taasisi za elimu afu system inakuangalia tu.
View attachment 1851200


Ndalichako ni Waziri wa kawaida sana! tokea aingie wizarani ni kufitinisha tu wenzake!
Wakuu wa taasisi wanamkoma huyu Mama. Wakuu wa idara wizarani wanaipata habari yake.
Ndalichako badilika huyu mama now yupo tofauti na mwendazake.
Hakuna value uliyo add hapo wizarani zaidi ya kufitinisha wakurugenzi na mamlaka za uteuzi.
 
Mtu mwenye Phd ukimsikiliza ata masters tu provided kweli kaisotea na transcript zake zimejaza B’s kwenda juu kuanzia sekondari anapoongea kuna reasonability ya intelligence unaiona.

Siku zote nimekuwa nasema Ndalichako doesn’t add up kama Phd; she is just too shallow ukimsikiliza mara nyingi.
Kama vile yule jamaa mwenye PH.d ya maganda ya korosho.

mobile app[/URL]
 
Mama Ndalichako ni mbishi sana na haitoshangaza labda akina Mtaka walijaribu kumpa mikakati yao based on circumstances za Mkoa wao ila akawagomea.

Huyo mama kweli mbishi na kigeugeu kuna mkurugenzi wa taasis ya elimu hakuamini masikio na macho yake akigeukwa bungeni huku alikuwa akifuata maagizo yake matokeo akavulunda akajikuta anatumbuliwa yeye na kumuacha yeye anadunda
 
Kama vile yule jamaa mwenye PH.d ya maganda ya korosho.

mobile app[/URL]
Hiyo sio mara ya kwanza kuja na kauli za ovyo ovyo ambazo hazina logic yoyote.

989DCD86-D3CB-4B4D-BE04-CACF9ACC6826.jpeg


Watu wanaamua kufanya special day siku watoto zao wanapotoka hatua moja ya elimu kwenda nyingine.

Wanawavisha tu vijoho siku ya graduation kwenye harakati za kuwatunzia kumbukumbu zao ukubwani kuifanya hiyo siku special zaidi.

Guess what? Ndalichako hataki eti majoho ni kwa sherehe za undergraduates na kuendelea; how shallow is this woman.

Huwa anatoa kauli kutokana na mtazamo wake tu (moral views of things) not weighing the pros and cons on practical side of her decision/statement.

Mkuu wa mkoa hayuko pekee mpaka kamtolea uvivu in maana kuna watu wengi washachoka kusikiliza kauli zake za kipuuzi.
 
Hiyo sio mara ya kwanza kuja na kauli za ovyo ovyo ambazo hazina logic yoyote.

View attachment 1851226

Watu wanaamua kufanya special day siku watoto zao wanapotoka hatua moja ya elimu kwenda nyingine.

Wanawavisha tu vijoho siku ya graduation kwenye harakati za kuwatunzia kumbukumbu zao ukubwani kuifanya hiyo siku special zaidi.

Guess what? Ndalichako hataki eti majoho ni kwa sherehe za undergraduates na kuendelea; how shallow is this woman.

Huwa anatoa kauli kutokana na mtazamo wake tu (moral views of things) not weighing the pros and cons on practical side of her decision/statement.

Mkuu wa mkoa hayuko pekee mpaka kamtolea uvivu in maana kuna watu wengi washachoka kusikiliza kauli zake za kipuuzi.
Yule mama wa kawaida sana
 
Mataka awaasa wananchi wampuuze waziri wa elimu kuhusu mambo ya elimu Kwenye mkoa wa Dodoma.
Mataka amesema wampuuze Waziri ambaye wa to to wake wanasoma international school.

Sikiliza audio hapo.
Mama ndali umezoea kuwaonea wakuu wa taasisi za elimu afu system inakuangalia tu.
View attachment 1851200


Ndalichako ni Waziri wa kawaida sana! tokea aingie wizarani ni kufitinisha tu wenzake!
Wakuu wa taasisi wanamkoma huyu Mama. Wakuu wa idara wizarani wanaipata habari yake.
Ndalichako badilika Mama samia yupo tofauti na mwendazake.
Hakuna value uliyo add hapo wizarani zaidi ya kufitinisha wakurugenzi na mamlaka za uteuzi.
Tabia ya kuwafitinisha wenzako waondolewe kwenye uteuzi acha mara 1.
Friction at work
 
Swala la Elimu yetu kufanywa kama mpira wa danadana na kila mmoja kuwa anachezea, ni makosa makubwa sana, mwongozo wa pamoja uko wapi?

Napingana na huyo mkuu wa mkoa wenu pendwa, Inakuweje awe na mpango wa kivyake vyake?

Mkuu wa mkoa wa Songea naye awe na matako yake, na wa mikoa mingine, tutakuwa taifa la aina gani?
Wewe kwa akili hizi ni Sifuri, Kuna mkoa unaitwa "Songea"

Wana ccm mna matatizo makubwa sana

Unatetea mambo wakati wewe una elimu ya kuunga unga na elimu ya shule za kata

Mkuu wa mkoa anataka kuboresha, wewe unataka watoto wawe Vilaza kama wewe
 
Kwamba yeye hashindi kwenye kiyoyozi? Kwamba yeye haindeshwi kwenye gari ya kiyoyozi? Kwamba watoto wake hawasomi "international schools"??

CCM wanafiki sana sana, wacha wararuane
Amejiharibia sana huyu, hajaweza kudhibiti ulimi wake, yawezekana nia yake ni njema lakini hajatumia diplomasia kumnanga kiongozi mwenzake jukwaanni
 
Back
Top Bottom