Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
kwahiyo hata kama katibu kagombana na mkewe anakuja kufanya hiyo iwe sawa tuNdugai anazidi jidhalilisha, duh...kazi ya kujua kikao Halali au Sio halali Sio yake. Tuna spika wa ajabu kwelikweli
Kwani sheria imeelekeza waambatanishe katiba?kawafundisha chakufanya wafuate wawafukuze lazima sheria zifuatwe
kama mnaona mnaonewa nendeni mahakamani watumnaona mmeshawafukuza bado mnawafuata wa nini? nyie pelekeni watu wengine wakikataliwa nendeni mahakamani basiKwani sheria imeelekeza waambatanishe katiba?
Kikao cha mama na spika kabla ya kuhutubia bunge unafikiri kilikuwa cha kunywa kahawa?Anatumika kuficha hoja ya wafanyakazi juzi hakuna kitu hapo na mama anaweza mgeuka kulingana na upepo ulivyo sasa.
Ni kwa sababu hawakuteuliwa na Chadema, waliteuliwa na akina ndugai ambao ni ccm. So, ni wabunge wa ndugai & co.. siyo wa ChademaLengo la chadema kuwafuka kina Halima ni nini?
Huu ufisadi wa ndugai kuna siku utampaliaYale yale ya Mwambe.......anyway Ndugayiiiii......anajua mwenyewe, ila na Chadema tulizeni akili kwanza
Ngoja tuone mwisho wakeHuu ufisadi wa ndugai kuna siku utampalia
Hujajibu hoja hapo mkuu!kama mnaona mnaonewa nendeni mahakamani watumnaona mmeshawafukuza bado mnawafuata wa nini? nyie pelekeni watu wengine wakikataliwa nendeni mahakamani basi
Ndugai anaishi kwenye ulimwengu wa mwendazakeSpika wa Bunge Job Ndugai, amemuagiza Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Mnyika, kuandika barua ambayo ataambatanisha na katiba ya chama chake pamoja muhtasari wa kikao kilichofanya maamuzi ya kuwafukuza uanachama wabunge 19 wa chama hicho...
hivi ruzuku zao zinaenda wapi?Mfumo Dume CHADEMA? Hii hii ambayo ilikua na wagombea wanawake majimbo zaidi ya 70?...
chama kinapomfukuza mtu uanachama kwa sababu binafsi za chama kinapashwa tu kutoa taarifa kwenye jamii ikiwa na official stamp + signature juu ya maamuzi...
Lengo la chadema kuwafuka kina Halima ni nini? nyie kila siku mnasema uongozi tufuate hekima katika maamuzi , mnataka kufukuza kwa kuwa ni wabunge wanakula pesa za ubunge au kwa kuwa sisi hatukupata hiyo nafasi? huo sio u dictator kweli kuamuka usiku na kufukuza wana chama wenu? tumieni busara sio kila mara mnakuwa na sintofahamu ambazo hazileti tija katika chama chenu, mnajizoofisha.
Ofisi ya Bunge inatakiwa kuwa na nakala za Katiba za vyama vyote vilivyo ndani ya Bunge. Kudai aambatishiwe Katiba ni kuonyesha kiburi tu.Kwani sheria imeelekeza waambatanishe katiba?
siku zote kufanya maamuzi kwa kusikiliza pressure za watu, mwisho wake, ni mbaya, kwani kuna ubaya gani utaratibu ukafuatwa, tatizo ni kila mtu anataka kufanya maamuzi ya kibabe, ili ionekane tu, yeye yupo imara. Mimi nadhani Ndugai yupo sahihi.Ndugai hajielewi kabisa, anajidai kuwafundisha Chadema nini cha kufanya kama vile hiyo ndio mara ya kwanza jambo kama hilo kutokea.
Lakini ukimsoma mbele zaidi anadai hawezi kufukuza watu ambao hawakupewa nafasi ya kujitetea, sasa kama waliitwa wakagoma kwenda alitaka wabebwe mgongoni?
Anaonesha wazi alivyoamua kuwalinda hao wanawake kwa gharama yoyote, ila ajue kwa hiki alichofanya anajiondolea heshima.
Amejidhalilisha mwenyewe, amelidhalilisha bunge kama taasisi inayotunga sheria, zaidi ameonesha hizo sheria zinazotungwa na bunge hazina maana, pia kaidharau Katiba ya nchi, ni bora ajiuluzu ili kulirudishia bunge letu na yeye mwenyewe heshima yake.
Mbonà kwa Sofia Simba hakutaka hayo, huyu ni mtu hatari inabidi Mungu ampumzishe Kama alivyompumzisha wa Executive.