Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Siyo mimi niliyesemaweka screenshot mkuu, tuone manake kijani hamkawii kuhack account za watu na kujifanya nyie ni akina lisu
msaliti,kakusaliti kivipi?Subiri ujue amepigwa wapi hiyo risasi pia.. na acha kusingizia mamlaka wakati unajua na yeye ni msaliti na labda tapeli kwa anaowasaidia kuiba mali za nchi yetu.. pesa kala na ugumu wa serikali unaendelea kuwanyoosha wanaompa bahasha kuvuruga..
Adui mkubwa wa lisu ni nani?Watanzania muache kuhusianisha hili swala na siasa mnataka kutuaminisha watz kuwa serikali ya madarakani imefanya hivyo maana naona comments zenu humu sio vizuri aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee
Pole Lissu