Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kweli nimeamini kuwa taarifa hii umeipokea kwa masikitiko makubwa hadi mida hii unaaga usiku mwema? Get well Lissu
Kwani hawawezi kumpeleka nje haraka hata SAUPDATE: Katibu wa Bunge amethibitisha kufika kwa ndege Dodoma kumchukua @TunduLissu kumpeleka hospitali ya Muhimbili ili kuokoa maisha yake.
Wanajiandikia tu alimradi ni kizungu (Kiingereza).Tundu Lissu ni attorney general wa CHADEMA au ni chief counsel wa CHADEMA?
Unavotaka weweTundu Lissu ni attorney general wa CHADEMA au ni chief counsel wa CHADEMA?
Aliwataja walio mdhuru.? Na huyo alosema ivyo ni nani?Kuna mtu mmoja aliwahi sema kwenye mtandao waliomdhuru ben saa nane watapukutika mmoja baada ya mwingine labda ndo wanaanza kupukutika
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko akienda hali itakuwa tete sana! Chadema wachukue helicopter wampeleke Nairobi. Sina imani na hospitali za serikali.UPDATE: Katibu wa Bunge amethibitisha kufika kwa ndege Dodoma kumchukua @TunduLissu kumpeleka hospitali ya Muhimbili ili kuokoa maisha yake.