DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

!
!
"Alisema wakati mwingine sio vibaya kuvunja sheria za nchi". Naam wito unaitikiwa. Apate nafuu ya haraka. [HASHTAG]#vivatundulissu[/HASHTAG]
 
Ni Hatari Sana,tusifike huko......Shindanane kwa hoja lakini hiyo gari ni full tinted hauwezi kujua kama ni tundu lissue labda ni car jacking kama Luck dube.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…