Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Sio kajiibia mwenyewe kweli? Mbinu hizi walizi asisi wao wenyewe. Alipokua kwenye hatamu za uongozi na wenzake walikua wanawadhihaki watu waliokua wakitekwa eti wanajiteka wenyewe ili wapate attention ya watu!!!!!! Sasa naye ndio analipwa pengine. Malipo ni duniani ujue