Rwebangira and 10 others
Member
- Nov 28, 2019
- 42
- 130
Kanyabwoyaa kwa kina Japa??Mkuu mimi nipo huku kwetu kanyabwoyaaaa ....sijui kwa kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanyabwoyaa kwa kina Japa??Mkuu mimi nipo huku kwetu kanyabwoyaaaa ....sijui kwa kweli
Kitambo ipo humu ,uwe uamsoma kwanza posts
Basi ifuteni jamani. Sijaingia tangu juzi humuKitambo ipo humu ,uwe uamsoma kwanza posts
USSR
Kwani Bashite yuko mjini?Kwanza kavumiliwa Sana,Nape alionywa kwa mashine..takataka kama hii mnaichekea ya nini?
Bado ndugu. Unakumbuka ile vita ya Lowasa na Kikwete. Wengi tulijua ile ndiyo hatima ya ccmCCM wako pazuri kuelekea hatima yao.
Wahuni wameanza kufanya kwa vitendo,Habari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za dhamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa
View attachment 2041847
Ila la lissu na mbowe lilisafisha sura ya nchiSuala hili litahafua taswira ya nchi.
Polisi Dodoma walishughulikie haraka
'Paranoia' inamtaka ajihakikishie ulinzi kwa kuogopa kutendewa aliyomtendea shujaa wetu LISSU!Hili ni tukio la kutengeneza
Watamrudia tu.Hana ulinzi apo kwakeAshukuru mungu hawajamkuta
Wangemkuta angechezea nakoz😂😂
Mzee wa viete aka kucheza sebene
Ova