Ni sawa na Chadema tu, wachilia mbali ruzuku wanazopata kuna pesa za wabunge pia wanawakata lakini bado wamezidiwa na Diamond, dogo ata chuoni hajaenda anamiliki WASAFI TV, Michadema imebaki kulialia na kudhani ati kuwafukuza TBC ndio watapa kura 💩.Na haya ndio yanapelekea ITV kuwa supa brand huku tiibiisii ikiendelea kutafuna ruzuku za wananchi pasipo manufaa wala kujiendesha!!! Mpaka leo wana vichaneli viwili aibu kabisa yani wanazidiwa hata na Azam wenye chanel nyingi
Huyu jamaa kampeni zake anafanyia mijini pekee
Anzisha uzi maalum wa hii Ilani tu.
Ukishindwa kupambana,unaungana nao. Pole sana mkuu kwa uchungu ulio nao.Nyie Molemo nyie nina hasira na nyie? Inakuwaje kitengo chenu cha habari kinapwaya namna hii mpaka tunachekwa na mataahira ya Lumumba? Mnashindwa hata kumtengenezea visibility mgombea wetu? Sijaona banner hata moja ya mh. Lissu nini maana yake? Natoa tena ushauri wa bure, tengenezeni picha nyingi za Lissu zisambazwe kwa wagombea ubunge na udiwani kila mmoja awe nayo anapokuwa anahutubia mkutano wa kampeni ameibebele kabisa na anawaelewesha wananchi nini cha kufanya siku ya kupiga kura. Vijijini raia hawamjui Lissu kwa sura. Kuhusu live stream nini kimewashinda? Mnashindwa hata kutumia vijana waliomaliza IT ambao wako mitaani hawana kazi mkawaajiri kwa miezi hii miwili wakawa busy kwenye youtube na kadhalika? Mwambieni mwenyekiti asibanie hiyo hela aliyokuwa anawakata wabunge wetu kwa miaka yote mitano! Uchaguzi ni gharama lazima tukubali kuingia gharama! Safari hii tukishindwa kumtoa mkoloni mweusi bora mimi nirudi tu nikajiunge nayo!
Tv na redio zinasajiliwa wapi?Ni sawa na Chadema tu, wachilia mbali ruzuku wanazopata kuna pesa za wabunge pia wanawakata lakini bado wamezidiwa na Diamond, dogo ata chuoni hajaenda anamiliki WASAFI TV, Michadema imebaki kulialia na kudhani ati kuwafukuza TBC ndio watapa kura 💩.
Hahahahaha!wenzako wako TCRA wanapanga namna ya kuikomesha ITV wewe unakenua tu meno ! zile DK 45 zimeharibu ccm kwa 96% , si mchezo .
Nilikuwa pub fulani hivi muda ule , kuna mtu kanywa bia 7 kwa nusu saa tu bila kujielewa kutokana na nondo za Lissu , uzuri ni kwamba alipoletewa bili hakubisha
Sasa inawaje muitikio mdogo wakati ndipo walipomchoronga kwa risasi hao wananchi hawataki hata kwenda kuangalia alivyo chibadaah uitikio ni mdogo hadi saa 14:53 eneo la shule ya uhuruView attachment 1558159View attachment 1558160View attachment 1558161
Duuu! In Pascal Mayala's voice!saa 15:49 imetangazwa muda wowote LISU atawasiliView attachment 1558238
Hizo sifa unazompa hazina uhalisia wowote, wewe utakuwa ulibemendwaWanaJF
Mgombea Urais wa Chadema Tundu Lissu leo anatarajiwa kuzindua kampeni katika Kanda ya Kati mkoani Dodoma.
Rais huyo mtarajiwa wa Tanzania ataambatana na mgombea Mwenza Salum Mwalimu, Katibu Mkuu John Mnyika na Mwenyekiti wa Kanda ya Kati Lazaro Nyalandu
Tayari Kuna pilikapilika kubwa hapa jijini Dodoma kuhusu ujio wake na maandamano makubwa ya kumpokea na Mkutano wake katika Uwanja wa Uhuru unatarajiwa kuvunja Rekodi kwa wingi wa watu
Lissu ambaye Watanzania wamembatiza jina la 'Charismatic Leader' amekuwa akilakiwa na Maelfu kwa Malaki ya watu popote anakopita ikiashiria kuzoa wingi wa kura katika uchaguzi mkuu wa October 28
Tutaendelea kuwapa taarifa kwa kila kitakachoendelea
Lakini angevileta kwenye mkoa unakotoka wewe ungefurahi................. Sisi wote ni Watanzania tusigombanie vito.Chadema ndo chama pekee Tanzania chenye Sera ambazo zimelenga kuivusha Tanzania na mtu pekee mwenye uwezo kuongoza Tanzania mpya ni Lissu pekee yake kuna mwingine anajigamba anapambana na ufisadi wakati yeye amejenga uwanja wa ndege wa Kimataifa nyumbani kwake mpaka mbuga ya wanyama amehamishia nyumbani yake ni ulevi wa madaraka #NIYEYE
Ilikuwa ni muda gani?Kwa mara ya kwanza jana ITV imevunja rekodi ya kutazamwa , waliangaliwa na mamilioni ya watu duniani kutokana na mahojiano yao na Lissu
Wanadai viwanja vya Uhuru,,, ndio vipi hapo Dodoma vipo mtaa gani?Dodoma ipi hiyo? Maana mimi nipo hapa mjini kati sijaona, Labda kama bado maana naona kila kitu cha kawaida? SIJUI LABDA BAADAYE, ngoja niendelee kuvuta SUBIRA.
Watu wana roho mbaya sana.16:02 watu wanaongezekaView attachment 1558268
Watu wachache kama minada ya jumatatu.tatizo mkiambiwa mlete na picha za matukio mnatuletea picha za mikutano ya lowassa huyo tu ndiyo alikuwa na uwezo wa kujaza nyomi za watu huyo tobo wenu hana lolote
Duutayari saa 16:10 LISU amewasili uwanja wa shule ya msingi uhuru dodomaView attachment 1558273
da aiseee pole yaketayari saa 16:10 LISU amewasili uwanja wa shule ya msingi uhuru dodomaView attachment 1558273