Uchaguzi 2020 Dodoma: Yaliyojiri mapokezi ya Tundu Lissu na mkutano mkubwa viwanja vya Uhuru Dodoma

Na haya ndio yanapelekea ITV kuwa supa brand huku tiibiisii ikiendelea kutafuna ruzuku za wananchi pasipo manufaa wala kujiendesha!!! Mpaka leo wana vichaneli viwili aibu kabisa yani wanazidiwa hata na Azam wenye chanel nyingi
Ni sawa na Chadema tu, wachilia mbali ruzuku wanazopata kuna pesa za wabunge pia wanawakata lakini bado wamezidiwa na Diamond, dogo ata chuoni hajaenda anamiliki WASAFI TV, Michadema imebaki kulialia na kudhani ati kuwafukuza TBC ndio watapa kura 💩.
 
Huyu jamaa kampeni zake anafanyia mijini pekee

Sidhani kama uko sahihi: Ninachokiona Lissu ameamua kufanya kwanza kwa zones/kanda ambapo anapita miji mikubwa kwanza, alafu anarudi kufanya vituo vidogo vidogo kwa maana ya miji midogo, mwenge hauruki kijiji
 
Ukishindwa kupambana,unaungana nao. Pole sana mkuu kwa uchungu ulio nao.

Hawaoni CCM wanavyofanya..ilibidi kila alipo mgombea wa CCM na wa CDM awepo.
 
Tv na redio zinasajiliwa wapi?
au bado unawaza kwa akili 💩 (nimekunukuu!!)
 
Hahahahaha!
Dah, weekedn hii huyo mtu tunaweza kumpata akapate idadi sawa kwa bill yangu??
 
Hizo sifa unazompa hazina uhalisia wowote, wewe utakuwa ulibemendwa
 
Lakini angevileta kwenye mkoa unakotoka wewe ungefurahi................. Sisi wote ni Watanzania tusigombanie vito.
 
Dodoma ipi hiyo? Maana mimi nipo hapa mjini kati sijaona, Labda kama bado maana naona kila kitu cha kawaida? SIJUI LABDA BAADAYE, ngoja niendelee kuvuta SUBIRA.
Wanadai viwanja vya Uhuru,,, ndio vipi hapo Dodoma vipo mtaa gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…