Nilisha iweka ITV group moja na station ambazo haziangaliwi nyumbani kwangu kama TBC nime toa kibali cha kuanza kuingalia tena kuanzia leo. Nami niko na TCRA nyumbani kwangu..Kwa mara ya kwanza jana ITV imevunja rekodi ya kutazamwa , waliangaliwa na mamilioni ya watu duniani kutokana na mahojiano yao na Lissu
Ndo kwaaaaaaaanza zimebaki siku50.... kwa iyo tulia... kila mahali patabarikiwa na mpakwa mafuta TAL...Huyu jamaa kampeni zake anafanyia mijini pekee
Kwa hiyo bado mko kwa fundi mnashona matukio?wenzako wako TCRA wanapanga namna ya kuikomesha ITV wewe unakenua tu meno ! zile DK 45 zimeharibu ccm kwa 96% , si mchezo .
Nilikuwa pub fulani hivi muda ule , kuna mtu kanywa bia 7 kwa nusu saa tu bila kujielewa kutokana na nondo za Lissu , uzuri ni kwamba alipoletewa bili hakubisha
Ndo kwaaaaaaaanza zimebaki siku50.... kwa iyo tulia... kila mahali patabarikiwa na mpakwa mafuta TAL...
Kuna mafuta ya mungu na mafuta ya nyani,
Sasa hayo ya Lisu ni ya nyani.
Huyu jamaa kampeni zake anafanyia mijini pekee
Umejibu vema sanaJambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza....Kwa sasa anazindua Kampeni zake kwenye Kanda Mbalimbali. Usiwe na wasiwasi inakuja kibunga cha Nyumba kwa Nyumba ambayo sisi wengine tunaendelea nayo, baadaye Kijiji kwa kijiji, kata kwa kata....Safari kazi mnayo....tumetawanyika kama siafu kunadi sera bora kabisa kuwahi kutokea za CDM
Kweli mkuu? Kumbe neno 'HAKI' ni dogo kwa herufi na silabi zake, lakini lililobeba maana pana ya day to day human life?Kwa mara ya kwanza jana ITV imevunja rekodi ya kutazamwa , waliangaliwa na mamilioni ya watu duniani kutokana na mahojiano yao na Lissu
Mkuu ulipotea sn.Chadema ndo chama pekee Tanzania chenye Sera ambazo zimelenga kuivusha Tanzania na mtu pekee mwenye uwezo kuongoza Tanzania mpya ni Lissu pekee yake kuna mwingine anajigamba anapambana na ufisadi wakati yeye amejenga uwanja wa ndege wa Kimataifa nyumbani kwake mpaka mbuga ya wanyama amehamishia nyumbani yake ni ulevi wa madaraka #NIYEYE
We nyati kwako Ni porini, unajuaje ya mjini, kwenye kampeni ya raisi mtarajiwa
Ni yeye 2020Lissu kiboko yao, wale wahuni walikuwa wakijidanganya kuwa 2020 watapita bila kupingwa hahaha kama masihara vile Lissu anaenda kupindua meza saa 2 asubuhi.
Watu mko Lumumba ati dodoma ya IlalaDodoma ipi hiyo? Maana mimi nipo hapa mjini kati sijaona, Labda kama bado maana naona kila kitu cha kawaida? SIJUI LABDA BAADAYE, ngoja niendelee kuvuta SUBIRA.
Hizo bendera za CCM wanazolazimishwa Wafungwa wa kubambikiwa kesi wakazifungeUongo mtakatifu kabisa. mimi nipo Dodoma mbona sijaona hizo pilikapilika za maandamano. Kwanza, hakuna bendera hata moja za Chadema mji mzima umejaa bendera za CCM. Halafu nahisi uchaguzi huu Chadema hata pesa ya kununulia bendera hamna.