Dogo aliyekuwa anatembea na mke wa jirani yangu sasa ana mazoea na mwanamke wangu

Wewe uko form ngapi??

How comes dogo wa form 3 tena wa kiume anaingia kwako kipuuzi tu, umemjengea mazoea ya kijinga na si ajabu huwa mnapiga story za kijinga na huyo dogo.

Ulipoona wa mwenzio analiwa, ulitakiwa kufanya jambo ila kwakua mijini mnaamini kila mtu na maisha yake ukaacha jamaa yako adhalilishwe na huyo dogo wewe ukishuhudia.

Sasa ni zamu yako kugongewa, jirani yako nae kama yupo jf ataleta uzi kama wewe.

Jinga kabisa
 
Kataa ndoa oyeee
 
Nakazia
 
Nakazia
 
Mochwari hawatongwi Ila kwingine kote hadi magengeni wanachezea, wewe unafanya kazi mochwari?
Mochwari labda za huko uliko mkuu,mle ndimo shoo inapigwa,hakunaga kelele wala vishindo vya watu,wote wamelala.
 
Ukute mkeo na wanawake wenzake,walishaongelea tupu ya huyo dogo,kua ana zinga la dude,hivyo wote wanataka kuonjeshwa,kua makini bro. kaa ki-master,utadharaulika zaidi.
 
Ndio unapogongwaga huko?
Kivipi,sijakuelewa, yawezekana nimeeleweka tofauti,au nieleweshe ulivyoelewa statement hii'
Mochwari labda za huko uliko mkuu,mle ndimo shoo inapigwa,hakunaga kelele wala vishindo vya watu,wote wamelala'
 
Kama siyo mkeo wa ndoa jiulize wewe ulimpata vipi wenzako washindwe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…