Donald Trump: Hakuna maji ya kuzima moto, hakuna pesa katika mashirika ya dharura

Wakati Trump akiwa Rais moto kama huo haujawahi kuwaka Marekani??
Mkuu moto usikie tu yaan kuna pori moja nilienda kulima huko machakani basi nikalima pakubwa ikafika muda nimechoka sana na natakiwa kumaliza siku hio hio sasa kumbe kuna kitu nilisahau kule wenyewe hua hawachomi moto mchana kuelekea jioni yaani kuanzia saa 7 kuelekea 11 jioni hukuti mtu anachoma moto kwa sababu ya upepo mkali hada 12 kuelekea saa 1 ndio utakuta watu wanachoma moto

Basi nikaingia pori fanya yangu imefika saa 7 kwenda 8 nimechoka nikasema ngoja nichome hauendi mbali huu, ebanaeee moto unatembea na nyasi na kinyasi kidogo tu kikirukia upande wa pili kinawezaa kuunguza pori zima na ukiwa peke yako hata ufanye nini huwezi kuzima moto unaowaka kila upande

Nikatia kiberiti basi nikaanza kuzuia huku na huku ili moto usihame huwezi amini upepo ulipoongezeka kidogo tu moto ukahama ukahamia pori la pili uzuri kuna Mama yeye mwenyeji wa hilo eneo akaniambia usipokua makini utachoma pori zima hili utaunguza miti yote hii akaanza kunisaidia kuzima kuna sehemu akaniambia niwahi usivuke yaan kumbe kuna sehemu mbele walichimba kanjia akasema ukivuka kale kanjia ndio basi huo moto hauupati, kadadek nikawahi kale kanjia nikakuta ndio umekaribia kuvuka nilipambana ule moto balaa ingawa na mimi uliniunguza ila haukuvuka kale kanjia huku yule mama anasaidia kuzima upande mwingine ningekua peke yangu mngesikia tu kuna pori limeungua huko
 
Mungu analipa hapa Duniani Trump alisema kama Hamas hawatachia mateka kabla ya tarehe 20 Basi Gaza itakuwa JahanamuπŸ˜‚
Mmewatumia kifurushi cha Majini sio poa kabisa
 
Wakwapi wakristo walio kuwa wakisema yuko wapi Allah, mji unao ungua Los Angeles ndio unaongoza kuwasaidia Israeli na Mungu kaenda watia adabu.
Kwa hio mmewatumia kifurushi cha majini wawashughulikie?
 
Kwa hio mmewatumia kifurushi cha majini wawashughulikie?
Hizo ndio akili za wafuasi wa mkosa njia. Nyie si mlikuwa mnasema Allah yuko wapi? Sa kaulize state inayo wasaidia Israel kule US kuliko zote kama sio hio Los Angeles πŸ˜‚ Allah choma moto hao makafiri mpaa wakose wao pesa za kuwasaidia Israel.
 
Utawaka mpaka ikulu au sio? Mmetuma majini wengi sana?
 
Hizo ndio akili za wafuasi wa mkosa njia. Nyie si mlikuwa mnasema Allah yuko wapi? Sa kaulize state inayo wasaidia Israel kule US kuliko zote kama sio hio Los Angeles πŸ˜‚ Allah choma moto hao makafiri mpaa wakose wao pesa za kuwasaidia Israel.
Kifurushi cha majini 72 mmekituma kwenda LA Californium au sio?
 
Kifurushi cha majini 72 mmekituma kwenda LA Californium au sio?
We kule kanisani ndio kwenye mapepo au umesahau, we mmoja wao si unatolewa pepo kanisani πŸ˜† πŸ˜‚ Wambieni waendelee kumsaidia Israel mpaa hata pesa za kuzima moto hawana sasa. Allah tia moto hao mpaa walie kuliko watoto wa Gaza.
 
Genocide ni majengo kumbe??

Makubwa.!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…