Donald Trump: Hakuna maji ya kuzima moto, hakuna pesa katika mashirika ya dharura

We kule kanisani ndio kwenye mapepo au umesahau, we mmoja wao si unatolewa pepo kanisani 😆 😂 Wambieni waendelee kumsaidia Israel mpaa hata pesa za kuzima moto hawana sasa. Allah tia moto hao mpaa walie kuliko watoto wa Gaza.
Majini 72 mmewatuma Los Angeles
 
Tafsiri ya neno GENOCIDES kuwa ni MAJENGO badala ya MAJANGA imeondoa maana halisi ya dhamira ya DONALD TRUMP katika sera ya mambo ya nje.
Hata hivyo moto huu ni adhabu toka kwa Mungu kutokana na matendo machafu ya USHOGA na USAGAJI pale LOS ANGELES na kwingineko.
 
Genocides = mauaji ya kimbari.
Shuleni ulienda kula makamasi?
 
Genocide = mauaji ya kimbari.
 
Wameanza kupata akili, sa Shetanyahu na jeshi la Israel wako wapi waje wawasaidie 🤣
Lile zee jinga eti lilisema kama Hamas hawajaachia mateka kabla ya terehe 20 basi Gaza na Mashariki ya kati itakuwa Jahanam Mungu kamuonyesha Jahanam ipo wapi kwa sasa😂 jana limetuma wajumbe kwenda Qatar waongee na Hamas waachie Mateka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…