Ni nguvu tu unazotumia kutetea huo uchafu ndiyo nazishangaa!! Unadai ushoga Marekani siyo issue, Je kama siyo issue kwa nini mgombea wa Republican analiongea kwenye kampeni?Haya, umeridhika? hunijui sikujui huenda hapa unachonga kumbe upo sinza makaburini umeshikilia msalaba, au kaka na baba zako wapo hukohuko, JF raha sana unasema lolote tu, nani anajali?
Ni nguvu tu unazotumia kutetea huo uchafu ndiyo nazishangaa!! Unadai ushoga Marekani siyo issue, Je kama siyo issue kwa nini mgombea wa Republican analiongea kwenye kampeni?
Ukiona mtu anachukizwa na kitu ujuwe kinagusa masilahi yake.
Umekwenda Marekani na ndugu zako wanajuwa uko kupiga box kumbe masela wanakupumulia kisogoni.
Siyo bure na wewe ni upinde ndiyo maana unaona ni sawa tu haya mashoga yasikemeweWatanzania mnafeli sana aisee wa papara na low IQ, ungesoma umalize halafu ucomment sio kukurukupuka, anyway kwa kukusaidia mimi ni mwalimu na walimu ni wavumilivu sana kuelewesha kondoo za hivi, ni kwamba Rais wa Marekani hapatikani kwa hoja moja na dhaifu kama ushoga, yani hii ni sehemu tu ya hoja maelfu anazotakiwa kuonyesha atazifanyia kazi kwa next 4yrs, halafu habari ya ushoga mnaikuza huko matombo tu hapa kwa wenyewe hata sio habari, kwa kuwa mmekaririshwa ushoga, frimason, miujiza, na uchawi basi mmekuwa na single channeled minds kama kasuku, jiongeze kijana.
Siyo bure na wewe ni upinde ndiyo maana unaona ni sawa tu haya mashoga yasikemewe
Marekani haiendeshwi na mawazo ya mtu kama huko kwenu. Kama kwenye sera zao za nchi washawatambua hakuna atachobadilisha. Anataka kundi la wajinga tu apate kura. Ushoga marekani unatambulika ndio maana ukiwasumbua huku wanakupogia kelele.View attachment 3133396
Donald Trump, katika kampeni zake za uchaguzi wa 2024, ameonyesha msimamo mkali zaidi kuhusu masuala ya LGBT kuliko alivyofanya katika kampeni zake za awali. Ingawa wakati wa kampeni zake za mwaka 2016 na urais wake wa awali alijaribu kuepuka kuonyesha upinzani wa wazi kwa haki za LGBT, hivi sasa amechukua msimamo unaofanana na wa kihafidhina wa chama chake.
Katika kampeni za 2024, Trump ameelezea mipango ya kurejesha baadhi ya sera za kihafidhina kama vile marufuku dhidi ya watu waliobadili jinsia kutumikia katika jeshi, ambayo iliondolewa na Joe Biden. Pia ameahidi kupinga sera za haki za watu wa LGBT, hasa kuhusu suala la haki za watu wanaobadili jinsia, kama vile matumizi ya vyoo au kushiriki katika michezo kulingana na utambulisho wa kijinsia. Trump na washirika wake wamejikita zaidi kwenye suala la kulinda kile wanachokiita "haki za wazazi" dhidi ya sera zinazounga mkono haki za watu wa LGBT mashuleni na katika jamii kwa ujumla.
Waafrika wenzetu mnaoweza kupiga kura huko, TWENDE na TRUMP
🤣🤣Ukiona Mtanzania anatumia nguvu nyingi kumpinga Trum ujuwe na yeye anapakuliwa
Cheki alivyokaa HahahaaMashoga mnateteana. Ila uzee wenu utakuwa shida kama Elton John. Maana anatembea amevaa Pampers.
View attachment 3133449
Niliona Aiseeukurasa wa bbc swahili kuna mtabiri mmoja anampa pointi nyingi kamala
😁😁Unataka kusemaje labda? Kwamba ushoga unaongeza akili?
🤣😁😁😁😁😁Siyo bure na wewe ni upinde ndiyo maana unaona ni sawa tu haya mashoga yasikemewe
Hakuna aliyekuelewa kama na wewe ni punga siuseme !? Ina maana wewe unajua siasa za USA kuliko trump Ambaye amewahi kuwa raisi na bado pia yupo ktk kinyang'anyiro cha kurudi madarakani , Mpaka trump ameongea hivyo it means tayari kuna loop hole ya watu wanao chukizwa na hivyo vitendo toka huko huko USA , Hawezi kuongea kitu without research Hiyo ni siasa Mzee na inafanywa na watu wabobevu kweli kweli ktk Hiyo sekta watu hawa kurupukiHujaelewa au umekariri, sina desa la kukupatia anyway I rest my case, walioelewa wanatosha, wanaojua normal distribution curve wataelewa
Trump ni mwehu hatoweza kutusaidia afrika,unasahau alivyosema wakati akiwavrais kuwa afrika ni shimo la mavi?View attachment 3133396
Donald Trump, katika kampeni zake za uchaguzi wa 2024, ameonyesha msimamo mkali zaidi kuhusu masuala ya LGBT kuliko alivyofanya katika kampeni zake za awali. Ingawa wakati wa kampeni zake za mwaka 2016 na urais wake wa awali alijaribu kuepuka kuonyesha upinzani wa wazi kwa haki za LGBT, hivi sasa amechukua msimamo unaofanana na wa kihafidhina wa chama chake.
Katika kampeni za 2024, Trump ameelezea mipango ya kurejesha baadhi ya sera za kihafidhina kama vile marufuku dhidi ya watu waliobadili jinsia kutumikia katika jeshi, ambayo iliondolewa na Joe Biden. Pia ameahidi kupinga sera za haki za watu wa LGBT, hasa kuhusu suala la haki za watu wanaobadili jinsia, kama vile matumizi ya vyoo au kushiriki katika michezo kulingana na utambulisho wa kijinsia. Trump na washirika wake wamejikita zaidi kwenye suala la kulinda kile wanachokiita "haki za wazazi" dhidi ya sera zinazounga mkono haki za watu wa LGBT mashuleni na katika jamii kwa ujumla.
Waafrika wenzetu mnaoweza kupiga kura huko, TWENDE na TRUMP
Sasa Harris ana sera gani ya maana?Hahaha apate urais kwa sababu ya ushoga? Huijui Marekani kijana, ushoga ni agenda ndogo sana ya braiwashed minds! America ni kiranja wa dunia haiwezi kumpa mtu urais kwa vijiagenda km vya mama tulia kule nje. Mtu anayepewa urais Marekani lazima aonyeshe ataipeleka wapi dunia kwa miaka minne ijayo comprehensively sio kwa vijihoja vitatu vya mihemko
Kwanini nisiijuwe normal distribution na mimi nimesoma inductive statistics?? Au unataka nikuchoree X axis na mstari wa origin unaoanza negative kupita kwenye origin (0) na kwenda kwenye positive. Halafu curve inakuwa kama mgongo wa tembo??Hujaelewa au umekariri, sina desa la kukupatia anyway I rest my case, walioelewa wanatosha, wanaojua normal distribution curve wataelewa
Mzee Elton John makalio yamevurugika, ni vidonda tu na kinyesi mfululizo. Bila pampers hatoki njeCheki alivyokaa Hahahaa
CEO wa Apple ni shoga
CEO wa OpenAI-ChatGPT ni shoga
Kweli umeliweka vizuri sana. Kwa mfano Obama yeye ndiye alihalalisha ufidhuli huuHakuna aliyekuelewa kama na wewe ni punga siuseme !? Ina maana wewe unajua siasa za USA kuliko trump Ambaye amewahi kuwa raisi na bado pia yupo ktk kinyang'anyiro cha kurudi madarakani , Mpaka trump ameongea hivyo it means tayari kuna loop hole ya watu wanao chukizwa na hivyo vitendo toka huko huko USA , Hawezi kuongea kitu without research Hiyo ni siasa Mzee na inafanywa na watu wabobevu kweli kweli ktk Hiyo sekta watu hawa kurupuki
Trump ashinde au asishinde unachopaswa kufahamu kuwa ushoga ni Jambo la kishetani Na Angalau yeye amesimama kidete kulipinga hadharani kuna Ambao wenye nafasi kama yake lakini hawajawahi kufanya Hilo Kwa sababu ya kuogopa kuharibu maslahi yao
So Trump ni shujaa katika kupinga ushoga
Mie kura yangu nampa huyu KONTAWAView attachment 3133396
Donald Trump, katika kampeni zake za uchaguzi wa 2024, ameonyesha msimamo mkali zaidi kuhusu masuala ya LGBT kuliko alivyofanya katika kampeni zake za awali. Ingawa wakati wa kampeni zake za mwaka 2016 na urais wake wa awali alijaribu kuepuka kuonyesha upinzani wa wazi kwa haki za LGBT, hivi sasa amechukua msimamo unaofanana na wa kihafidhina wa chama chake.
Katika kampeni za 2024, Trump ameelezea mipango ya kurejesha baadhi ya sera za kihafidhina kama vile marufuku dhidi ya watu waliobadili jinsia kutumikia katika jeshi, ambayo iliondolewa na Joe Biden. Pia ameahidi kupinga sera za haki za watu wa LGBT, hasa kuhusu suala la haki za watu wanaobadili jinsia, kama vile matumizi ya vyoo au kushiriki katika michezo kulingana na utambulisho wa kijinsia. Trump na washirika wake wamejikita zaidi kwenye suala la kulinda kile wanachokiita "haki za wazazi" dhidi ya sera zinazounga mkono haki za watu wa LGBT mashuleni na katika jamii kwa ujumla.
Waafrika wenzetu mnaoweza kupiga kura huko, TWENDE na TRUMP