Donald Trump Hapepesi Macho Kuhusu Ushoga Kama Atafanikiwa Kuwa Rais wa Marekani

Haya, umeridhika? hunijui sikujui huenda hapa unachonga kumbe upo sinza makaburini umeshikilia msalaba, au kaka na baba zako wapo hukohuko, JF raha sana unasema lolote tu, nani anajali?
Ni nguvu tu unazotumia kutetea huo uchafu ndiyo nazishangaa!! Unadai ushoga Marekani siyo issue, Je kama siyo issue kwa nini mgombea wa Republican analiongea kwenye kampeni?

Ukiona mtu anachukizwa na kitu ujuwe kinagusa masilahi yake.

Umekwenda Marekani na ndugu zako wanajuwa uko kupiga box kumbe masela wanakupumulia kisogoni.
 

Kama wanakula wanashiba na hawajalalamika we inakuuma nini, unajua mama yako au baba yako akileta ugali katoa wapi? Achana na akili za kifirauni na kukariri, open your mind hamna mtu katetea ushoga hapa kwa akili yako finyu ya channel moja umeona ushoga tu hapa mengine huyaoni! Elimika kwanza
 
Siyo bure na wewe ni upinde ndiyo maana unaona ni sawa tu haya mashoga yasikemewe
 
Siyo bure na wewe ni upinde ndiyo maana unaona ni sawa tu haya mashoga yasikemewe

Hujaelewa au umekariri, sina desa la kukupatia anyway I rest my case, walioelewa wanatosha, wanaojua normal distribution curve wataelewa
 
Marekani haiendeshwi na mawazo ya mtu kama huko kwenu. Kama kwenye sera zao za nchi washawatambua hakuna atachobadilisha. Anataka kundi la wajinga tu apate kura. Ushoga marekani unatambulika ndio maana ukiwasumbua huku wanakupogia kelele.
 
Hujaelewa au umekariri, sina desa la kukupatia anyway I rest my case, walioelewa wanatosha, wanaojua normal distribution curve wataelewa
Hakuna aliyekuelewa kama na wewe ni punga siuseme !? Ina maana wewe unajua siasa za USA kuliko trump Ambaye amewahi kuwa raisi na bado pia yupo ktk kinyang'anyiro cha kurudi madarakani , Mpaka trump ameongea hivyo it means tayari kuna loop hole ya watu wanao chukizwa na hivyo vitendo toka huko huko USA , Hawezi kuongea kitu without research Hiyo ni siasa Mzee na inafanywa na watu wabobevu kweli kweli ktk Hiyo sekta watu hawa kurupuki

Trump ashinde au asishinde unachopaswa kufahamu kuwa ushoga ni Jambo la kishetani Na Angalau yeye amesimama kidete kulipinga hadharani kuna Ambao wenye nafasi kama yake lakini hawajawahi kufanya Hilo Kwa sababu ya kuogopa kuharibu maslahi yao

So Trump ni shujaa katika kupinga ushoga
 
Trump ni mwehu hatoweza kutusaidia afrika,unasahau alivyosema wakati akiwavrais kuwa afrika ni shimo la mavi?
 
Sasa Harris ana sera gani ya maana?
 
Hujaelewa au umekariri, sina desa la kukupatia anyway I rest my case, walioelewa wanatosha, wanaojua normal distribution curve wataelewa
Kwanini nisiijuwe normal distribution na mimi nimesoma inductive statistics?? Au unataka nikuchoree X axis na mstari wa origin unaoanza negative kupita kwenye origin (0) na kwenda kwenye positive. Halafu curve inakuwa kama mgongo wa tembo??

Normal distribution curve ni grafu ya data yenye umbo la kengele, ambapo wastani unaelekea katikati.
 
Anachopigania trump na title yako haviendani, trump anapigania mtu kazal8wa mwanaume alagu anabadili jinsia, au anaamua tu kujiita mwanamke na vice versa.
 
Kweli umeliweka vizuri sana. Kwa mfano Obama yeye ndiye alihalalisha ufidhuli huu
 
Mie kura yangu nampa huyu KONTAWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…