Donald Trump Hapepesi Macho Kuhusu Ushoga Kama Atafanikiwa Kuwa Rais wa Marekani

Same can be said of kamala harris, tofauti ni kwamba mfumuko wa bei haukua mkubwa kipindi cha trump ukilinganisha na kipindi cha Harris na Biden
 
Ko wew unafikiri una akili na hoja kuliko Trump?
Kama vipi wakupe wewe urais
Au je sera za Trump ni hiyo tu?
Mbona ana sera nyingi nzur
Ndio maana watu wanakuhisi vibaya
Marekani kwa pale ilipofikia sio nchi ya sera za kujitafuta Sana kama watz
Marekani ni kiranja wa Dunia
Nadhani akipatikana Rais wa kuupinga ushoga kwa sasa atasaidia kuokoa mamilion ya vijana wetu na watoto wetu
 
Aliwahi kuwa raisi, alisaidiaje kuupunguza ushoga?
 
Bullshit.
 
Hahaha aje achukue KURA za MWAMPOSA tanganyika packers.
 
nasikia obama na mzee wa msoga ni marafiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…