DP World tayari imejenga "Bandari Kavu" Rwanda yenye uwezo wa kontena elfu 50, wakati bandari yetu ni ya kontena elfu 19 tu

DP World tayari imejenga "Bandari Kavu" Rwanda yenye uwezo wa kontena elfu 50, wakati bandari yetu ni ya kontena elfu 19 tu

Katika hili wala hauhitaji kujua aliye nyuma ya hawa DP World ni nani, haijatokea kwa bahati mbaya, hakuna coincidence hapa, ni mipango iliyopangwa ikapangika na sasa tunaenda kupigwa mchana kweupeee.

==========================

TAARIFA KUHUSU UWEKEZAJI UNAOPENDEKEZWA NA DP WORLD TANZANIA

DP World imejenga kituo cha hadhi ya kimataifa cha bandari kavu na kitovu cha usafirishaji katika Rwanda, ambayo ni ndogo kijiografia na isiyo na bahari yenye uwezo wa kuhifadhi makontena 50,000 kwa wakati mmoja. Kinyume chake, bandari ya Dar es Salaam katika Tanzania kubwa kijiografia ina uwezo wa kuhifadhi kontena 19,000 TU kwa wakati mmoja.

Hii ina maana kwamba kama meli kubwa ya kontena yenye uwezo wa kubeba takriban TEU 20,000 au zaidi ingetia nanga Dar es Salaam, kituo kidogo cha kontena cha bandarini hakingeweza kuhifadhi shehena ya meli moja tu.

Wakati mjadala wa kitaifa wenye SIASA NYINGI ukiendelea kuhusu masharti ya uwekezaji ujao wa DP World nchini Tanzania, bandari ya Dar es Salaam bado ina uhitaji mkubwa wa uwekezaji wa miundombinu. Wakati huo huo, Rwanda tayari imejenga bandari kavu ya hadhi ya kimataifa, na nchi jirani ya Kenya inatafuta wawekezaji wa kibinafsi kuendesha sehemu muhimu za bandari zake za Lamu na Mombasa.

Ingawa hoja halali kuhusu masharti ya uwekezaji inapaswa kushughulikiwa, ni wakati sasa kwa Tanzania kujadiliana na DP World kwa kina kwani bandari ya Dar es Salaam itakuwa kama njia tuu ya kupeleka shehena Rwanda. Hii ina maana Rwanda itakuwa inapata faida kubwa kupitia bandari yetu kulinganisha na sisi.
View attachment 2656852

View attachment 2656853

View attachment 2656854

View attachment 2656854

View attachment 2656855
Rwanda wana akili nzuri kuliko viongozi wa nchi hii.
 
Kukimbilia kusema kua watu wanao kubali kua tuingie ubia wa kuendesha na kuboresha bandariz etu mnawaona kua wasaliti na wamepewa pesa...huu si ukweli bali ni kukosa tu hekima za kuyajua mema na malengo ya Taifa ili. Vipi,wale mnaopinga mkiambiwa mmeongwa na wafanyabiashara wanao tumia hiyo bandari kutupiga pesa na kuuza vitu kwa bei ya juu sijui utasemaje. Ifike sehem watanzania tukubali kua tunabidi kupiga hatua kwa kufanya maamuzi sahihi. Itakuaje vizazi vyetu vya mbeleni wakute tuna bandari lakini bado maisha ya watanzania ni duni? Si watatuona mazezeta kwa kushindwa kutumia bandari kuinua uchumi wa mtu mmoja na nchi kwa ujumla?
Judas Iscariote endeleeni kutafuna hata hiki kidogo kilichobakia.
 
Tuwekee hapa mkataba wa Rwanda, tulinganishe na huu uliosainiwa na Hawa.
 
Mkuu umeona eeh! hizo ni calculated moves......... sasa intelligence ya nchi ikilala mnaingia kwenye mitego ya watu wengine wenye maslahi binafsi ya nchi zao.
 
Katika hili wala hauhitaji kujua aliye nyuma ya hawa DP World ni nani, haijatokea kwa bahati mbaya, hakuna coincidence hapa, ni mipango iliyopangwa ikapangika na sasa tunaenda kupigwa mchana kweupeee.

==========================

TAARIFA KUHUSU UWEKEZAJI UNAOPENDEKEZWA NA DP WORLD TANZANIA

DP World imejenga kituo cha hadhi ya kimataifa cha bandari kavu na kitovu cha usafirishaji katika Rwanda, ambayo ni ndogo kijiografia na isiyo na bahari yenye uwezo wa kuhifadhi makontena 50,000 kwa wakati mmoja. Kinyume chake, bandari ya Dar es Salaam katika Tanzania kubwa kijiografia ina uwezo wa kuhifadhi kontena 19,000 TU kwa wakati mmoja.

Hii ina maana kwamba kama meli kubwa ya kontena yenye uwezo wa kubeba takriban TEU 20,000 au zaidi ingetia nanga Dar es Salaam, kituo kidogo cha kontena cha bandarini hakingeweza kuhifadhi shehena ya meli moja tu.

Wakati mjadala wa kitaifa wenye SIASA NYINGI ukiendelea kuhusu masharti ya uwekezaji ujao wa DP World nchini Tanzania, bandari ya Dar es Salaam bado ina uhitaji mkubwa wa uwekezaji wa miundombinu. Wakati huo huo, Rwanda tayari imejenga bandari kavu ya hadhi ya kimataifa, na nchi jirani ya Kenya inatafuta wawekezaji wa kibinafsi kuendesha sehemu muhimu za bandari zake za Lamu na Mombasa.

Ingawa hoja halali kuhusu masharti ya uwekezaji inapaswa kushughulikiwa, ni wakati sasa kwa Tanzania kujadiliana na DP World kwa kina kwani bandari ya Dar es Salaam itakuwa kama njia tuu ya kupeleka shehena Rwanda. Hii ina maana Rwanda itakuwa inapata faida kubwa kupitia bandari yetu kulinganisha na sisi.
View attachment 2656852

View attachment 2656853

View attachment 2656854

View attachment 2656854

View attachment 2656855
Hakuna Sehemu ambayo DP world amewekeza ambayo hajawekeza kupanua Bandari, akipewa Bandari hata Hapa Tanzania anaweza kuweka zaidi ya hio 50k Teu.

Unaiongelea hii kampuni kama Vile ni kikampuni cha uchochoroni kinaweza kuwa controlled na Rwanda.
 
Mleta mada ahsante sana,mkataba wa DP World na Rwanda hamna tofauti kubwa na huu wa bandari sana labeda katika kuendeleza ndiyo kuna utofauti. Hivi kweli leo hii watanzania tunafikia sehem kukataa uwekezaji ambao unafaida kubwa kwa Taifa letu eti tunakimbia kudanganywa kua bandari inauzwa. Hivi angalia kutoka kontena elfu 19 mpaka kontena elfu 50 mnaona jambo la kawaida. Watu wengi awajui kua mbali na kodi kwa serikali lakini pia bei ya vitu kutoka nje itashuka lakini pia itasaidia ata kusafirisha malighafi na bidhaa nyingine kua rahisi na haraka kwetu.
Kontena Elfu 19 Hadi Elfu 50 hata wanasiasa Wana Ahadi tamu Sana ukiskia utatamani uchaguzi ufike ili impigie kura ....akisha chaguliwa sasa
 
Mleta mada ahsante sana,mkataba wa DP World na Rwanda hamna tofauti kubwa na huu wa bandari sana labeda katika kuendeleza ndiyo kuna utofauti. Hivi kweli leo hii watanzania tunafikia sehem kukataa uwekezaji ambao unafaida kubwa kwa Taifa letu eti tunakimbia kudanganywa kua bandari inauzwa. Hivi angalia kutoka kontena elfu 19 mpaka kontena elfu 50 mnaona jambo la kawaida. Watu wengi awajui kua mbali na kodi kwa serikali lakini pia bei ya vitu kutoka nje itashuka lakini pia itasaidia ata kusafirisha malighafi na bidhaa nyingine kua rahisi na haraka kwetu.
Sio kwamba tunakataa uwekezaji sisi kama nchi tunashindwa nn kuendesha bandari mpk tubinafsishe????
 
Na ndio kile kipengele cha kutovunja mkataba hata kitokee nini kinapopigiwa kelele. Ila naomba kuuliza, kwamba uchukue kontena Dar hadi Rwanda halafu ndio upeleke Zambia? Au kontena litike Dar linende kukaa Reanda halafu ndio ulipakie tena kwa mara ya pili kwenda Kongo?
Acha kupotosha watu, mteja let's say kutoka Congo DR amenunua mzigo wake China, yeye ndio ayaamua mzigo wake aupokelee wapi Final destination kutokana na freight aliyolipia. Kumbuka ukinunua mzigo kitu cha kwanza supplier atakuuliza final distinction ni wapi na mzigo wako utaupokelea wapi ( port of delivery ) acha kupotosha watu
 
Hawa ni DP World wana exclusive Patent au Uchawi wa kuongeza Uwezo wa Kontena kwenye Bandari ? Yaani ni Rocket Science ambayo nyie hamuwezi kufanya au hao wajenzi wana exclusivity ya kuwafanyia DP World Pekee ?!!!

Waasisi walisema mambo tuyaache mpaka siku tukipata akili, tatizo akili zimepungua na mambo tunayapaparikia utafikiri kuna mashindano ya kupiga deals...
 
Hayakwepeki mabadiliko wabongo tukubali tu.Mfano ya Nini kukaa na magofu mjini,fire upanga wapewe developers
 
Kuna mkono wa Kagame kwenye huu mkataba, kumbuka ziara za Samia Rwanda

Yani huyu Kagame ni nyoko aisee!!

Mbona kama mna utoto kwenye jambo serious ...je izo nchi nyingine dp world zinapo fanya kazi napo kuna mkono wa nani
 
Huyu tahira mleta uzi anafananisha bandari na bandari kavu na hawa ndio wanateuliwa wakurugenzi uku bara kutoka Zanzibar

Ficha ujinga wako.kisa umesikia bandar kavu ndio wazani ni kama godown la mahindi?
 
Nafasi kama hii wazanzibari wanaililia leo wamepata watanganyika wanaona kama wanatapeliwa.
 
Back
Top Bottom