Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
KabisaNa iwe fundisho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaNa iwe fundisho.
Tuwaonee huruma wenzetu, Labda Afya ya Akili haiko sawa!Kabisa
Kwahiyo huruma ni wao waishi Ili waue wenzao Kwa kigezo Cha afya ya akiliTuwaonee huruma wenzetu, Labda Afya ya Akili haiko sawa!
Na wale wanaotuma M23 na kuua Raia wa Congo, wizi wa mali za congo na kujimilikisha mali za congo za umma na wao wamenyongwa?Serikali ya Congo imewaua wanaume wapatao 102 kwa njia ya kunyongwa wiki iliyopita, na wengine 70 wanatarajiwa kuuawa. Waziri wa sheria wa nchi hiyo alisema Jumapili katika taarifa kwa Shirika la Habari la Associated Press.
Waziri alisema wanaume hao, wenye umri wa miaka 18 hadi 35, walikuwa majambazi wenye silaha na "wahuni wa mijini," wanaojulikana kama Kulunas, waliouawa katika gereza la Angenga, kaskazini-magharibi mwa DrCongo.
Amesema 45 waliuawa mwishoni mwa Desemba, na wengine 57 waliuawa ndani ya saa 48 zilizopita.
Waziri wa Sheria Constant Mutamba, ambaye anasimamia mauaji hayo, alisema Jumapili jioni kuwa "kundi la tatu litanyongwa, kwa hivyo makundi mawili ya kwanza tayari yameshapewa adhabu ya kifo.
Kwanza wengi wao wanavipaji vya muziki wakaimbe ndomboro huko mbinguni watafika mbali wanakitu.Wajinga sana hao wameua madereva wengi sana halafu wanawaambia kwamba wao ni watoto wa madereva wenzao wametelekezwa kwahiyo ndio wanawafanyia uhalifu
Endelea na wizi wako na kuua raia ukiingia kwenye 18 ni kifo tu mjinga weweNa sale wanaotuma M23 na kuua Raia wa Congo, wizi wa mali za congo na kujimilikisha mali za congo za umma na wao wamenyongwa?
Maskini mna Roho Mbaya sana, hupenda kufurahia madhira yanayomkuta Maskini Mwenzako.
Mnalaana nyie
Maskini wa akili na kipato anawaza kama wewe.Endelea na wizi wako na kuua raia ukiingia kwenye 18 ni kifo tu mjinga wewe
Angalau wangekua wanaokota makopo,lakini wanashika bunduki na miti yenye ncha wanakudidimiza kuanzia utosini mti unatokea kwa mpalange.Tuwaonee huruma wenzetu, Labda Afya ya Akili haiko sawa!
Fanya kazi acha wizi wako mjinga wewe ukiingia kwenye 18 moto unakuhusu unaogopa kufa wakati unauaMaskini wa akili na kipato anawaza kama wewe.
Duuh wako vibayaa!Angalau wangekua wanaokota makopo,lakini wanashika bunduki na miti yenye ncha wanakudidimiza kuanzia utosini mti unatokea kwa mpalange.
Wapate matibabu ya Afya ya Akili!Kwahiyo huruma ni wao waishi Ili waue wenzao Kwa kigezo Cha afya ya akili
TAL = Tanzanian Are LooserWho is TAL?
Wameshapewa matibabu hawatakua na tatizo la afya ya akili mileleWapate matibabu ya Afya ya Akili!
Hatari sanaAngalau wangekua wanaokota makopo,lakini wanashika bunduki na miti yenye ncha wanakudidimiza kuanzia utosini mti unatokea kwa mpalange.
Waziri wa Sheria Constant Mutamba,
Over decades of years.....harafu wanajidanya wanaweza kwa vijana ambao ni VulnerableMbona waasi wamewazidi nguvu na wapo wanadunda tu
Wawaondoe kwanza waasi nchini mwao ndo ntajua wanachapa kazi kwelikweliOver decades of years.....harafu wanajidanya wanaweza kwa vijana ambao ni Vulnerable
Wahuni hao wanaua watu wasio na hatia na ndio maana hawawapeleki mahakamaniWawaondoe kwanza waasi nchini mwao ndo ntajua wanachapa kazi kwelikweli