Dr. Kitila Mkumbo awa Profesa


Mulugo ametuharibia vijana. Asistance ndio nini?
 
Mbona research nyingi kafanya peke yake, a one man show .......... halafu kasupervise wanafunzi kibao lakini hakuna publications nao au kaorodhesha na project za undergrad!!? Just being curious! Isije kuwa yale mambo ya "The Shattered Glass"
 
Nyie wote hamjui shule. Tatizo mnaambiwa na kusikia mitaani, ila hamtaki kujifunza.
Mwenye details atueleze kafanya research ya nini?


Hawezi kuwa Prof.kabla ya kwenda hata Sebbatical leave , alienda lini Sebbatical ? Na hata kama alienda atakuwa Associate Prof.."........ Aidha ameshatoa chapisho lolote ? Ameandika nini ? Msitulishe upepo bana
 


Pumbavu! Product ya shule za kata! Shame!
 
Uprofesa WA kukremisha, wapo maprofesa mitaani sio hao WA darasani wanaolazimisha vitu vilundikane kichwani mwisho wanakuwa na elimu hewa za majina
 
Nkoyi,
Who is miss Thang?
 
Hawezi kuwa Prof.kabla ya kwenda hata Sebbatical leave , alienda lini Sebbatical ? Na hata kama alienda atakuwa Associate Prof.."........ Aidha ameshatoa chapisho lolote ? Ameandika nini ? Msitulishe upepo bana

Wakati mwingine ni bora kufunga mdomo ili ufiche ujinga wako. Sebbatical leave sio kigezo cha kuwa Prof. ni idadi ya machapisho ndiyo kigezo. Pitia CV yake utaona jinsi alivyopambana kuandika papers.
 
Hongera Prof,dunia ya wasomi (Academician world) imekukubali
 
Nafikiri Heshima ya mtu lazima itambulike (PHD ya Kweli , si ya heshima )na jamii ya wasomi na public general .Hawa watu wanaupeo mkubwa wa kusaidia jamii kimawazo,kiteknologia,kimaendeleo,etc
 
It doesn't matter, the man is now Prof.

Inazidi kutuonyesha jinsi upeo wako wa akili ulivyo hovyo kabisa,duuh ndio maana unaushabikia ccm kwa kuwa akili zenu misukule inafanana.
 
Nkoyi,
Who is miss Thang?

Hahahaha,

Malaika mmoja hivi ambaye alikosea njia tu na kujikuta yuko hapa duniani, a doctoral candidate in neuropsychology. In a manner of speaking.

Nataka kufika bei mkuu.

Tolagi bagosha, tolagi.
 
Yeyeyeye!!
Ulihaya kulunja?
Hongera mkuu.

Neuropsychology?, I have never heard of such a thing.
Hahahaha,

Malaika mmoja hivi ambaye alikosea njia tu na kujikuta yuko hapa duniani, a doctoral candidate in neuropsychology. In a manner of speaking.

Nataka kufika bei mkuu.

Tolagi bagosha, tolagi.
 
Kwangu mimi kitaaluma Dr. ni prestigious zaidi ya professor.

Ndo maana mtu kama Dr. Cornel West licha ya kuwa ameshawahi kuwa (full) professor Harvard na Princeton lakini bado anajulikana na bado hujitambulisha kama Dr. na si Professor.

@NN nini kinachomfanya mtu aitwe prof..? Na kwa nini unahisi Phd ni bora zaid ya nyingine.?
 
Hahahaha,

Malaika mmoja hivi ambaye alikosea njia tu na kujikuta yuko hapa duniani, a doctoral candidate in neuropsychology. In a manner of speaking.

Nataka kufika bei mkuu.

Tolagi bagosha, tolagi.

Huyu ndo yule uliyetaka kumnunulia Evoque? Mzenji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…