Dr. Kitila Mkumbo awa Profesa

Dr. Kitila Mkumbo awa Profesa

sijui ni lini MWALIMU KAIJAGE NAYE atapandishwa kutoka UPE hadi secondary school ? Maana kuna mkakati wa kupromote wasaliti wote .
 
WanaJF,

Naamini wote tunamfahamu ndugu Kitila Mkumbo kwa wadhifa wake wa uhadhiri wa chuo kikuu cha Dar es salaam. Katika wadhifa wake huo yeye amesimama kwa kiwango cha elimu cha Ph.D na alikuwa akiitwa Dr. Kitila Mkumbo kwa kipindi kirefu kwa sasa.

Ila kwa sasa ndugu Kitila Mkumbo ameukwaa u-professor rasmi na kuanzia leo atakuwa akijulikana kama Prof. Kitila Mkumbo!

Taarifa hii ni dhahiri itawatia hasira sana watu wa CHADEMA huku wakiongozwa na babu Slaa bila kumsahau Mbowe!

Jamani, wote kwa pamoja tutumie fursa hii kumpongeza ndugu Kitila Mkumbo kwa kuukwaa u-professor!

HAMY-D a.k.a Hamida umeachika nini? Sasa huo uprofesa wake una tija gani kwa taifa huoni tuna maprof kama J Magembe Mbarawa ambao wamekua mizigo kwa taifa?
 
I thought so.

They should take it from someone who should know.

Professor maana yake ni mwalimu.

Kifaransa ukitaka ku distinguish mwalimu wa chuo kikuu unasema le professeur dans le superieur, otherwise hata mwalimu.wa shule ya msingi ni "le proffeseur".

Kuna jamaa alikuwa anafundisha historia first year, wanafunzi wakimwita Dr. ilibidi awasahihishe.na kuwaambia kwamba "mimi.si Dr. kwa maana sijafanya Ph.D yangu bado, mimi.ni professor tu".

Sasa bongo nashangaa kuona "professor", which is basically "teacher", inakuwa na prestige kuliko Dr. which is an actual academic distinction denoting that someone has a Ph.D .

Hata Obama alikuwa professor wa sheria, lakini hana Ph.D

Kwangu mimi kitaaluma Dr. ni prestigious zaidi ya professor.

Ndo maana mtu kama Dr. Cornel West licha ya kuwa ameshawahi kuwa (full) professor Harvard na Princeton lakini bado anajulikana na bado hujitambulisha kama Dr. na si Professor.
 
Hata Muhongo naye ni profesa lakn anazidi kuuza nchi kila siku na mpka leo hamna Umeme, Lipumba naye ni Profesa lkn anashangilia Serikali ya Uingereza kupitia BBC kufungua Kituo Chake Nchini mwetu, hata Magembe naye ni profesa lkn ni fisadi namba 1, hata yule wa Wizara ya Mawasiliano pia jina nimemsahau ni profesa lkn TTCL kwishney orodha inaendelea!

kama hivyo ndivyo maproffesor walivyo tunajifunza nini basi kutoka kwa wasomi hawa?
 
WanaJF,

Naamini wote tunamfahamu ndugu Kitila Mkumbo kwa wadhifa wake wa uhadhiri wa chuo kikuu cha Dar es salaam. Katika wadhifa wake huo yeye amesimama kwa kiwango cha elimu cha Ph.D na alikuwa akiitwa Dr. Kitila Mkumbo kwa kipindi kirefu kwa sasa.

Ila kwa sasa ndugu Kitila Mkumbo ameukwaa u-professor rasmi na kuanzia leo atakuwa akijulikana kama Prof. Kitila Mkumbo!

Taarifa hii ni dhahiri itawatia hasira sana watu wa CHADEMA huku wakiongozwa na babu Slaa bila kumsahau Mbowe!

Jamani, wote kwa pamoja tutumie fursa hii kumpongeza ndugu Kitila Mkumbo kwa kuukwaa u-professor!

kwan ndo wakwanza kuitwa prof?? acha mawazo mgando shughulisha akili vinginevyo utaolewa
 
Acha kupanick kk....tumpe hongera kiroho safi tu! Usiwe na roho ya wivu kama Dr Slaa.

Mbona na Dr. Slaa ni professor lakini ajitambi, mbona Mwlm Nyerere alikuwa Prof. lakini alikufa akiitwa mwalimu acha usamba u-prof ni jina tu kama la majimarefu ua professor J
 
Kuna kiongozi mmoja kwenye lile Kongamano lililofanyika UDSM siku ya Jumapili tarehe 3 Aug; jamaa mmoja wa CCM kama sio Wassira basi ni Lukuvi, alimwita ni Professa Kitila Mkumbo; nilidhani alikosea...kumbe walishampatia hiyo kofia! mwe...
 
WanaJF,

Naamini wote tunamfahamu ndugu Kitila Mkumbo kwa wadhifa wake wa uhadhiri wa chuo kikuu cha Dar es salaam. Katika wadhifa wake huo yeye amesimama kwa kiwango cha elimu cha Ph.D na alikuwa akiitwa Dr. Kitila Mkumbo kwa kipindi kirefu kwa
Ila kwa sasa ndugu Kitila Mkumbo ameukwaa u-professor rasmi na kuanzia leo atakuwa akijulikana kama Prof. Kitila Mkumbo!

Taarifa hii ni dhahiri itawatia hasira sana watu wa CHADEMA huku wakiongozwa na babu Slaa bila kumsahau Mbowe!

Jamani, wote kwa pamoja tutumie fursa hii kumpongeza ndugu Kitila Mkumbo kwa kuukwaa u-professor!

sasa chadema inausiki vipi na yeye kupata u prof wake? labda wewe ndo inakuuma:wof:
 
Hongera MKUMBO,jamaa kichwa sana nanunua Gazeti la RAIA Mwema ili nijifunze kutoka kwake vitu tofautitofauti,nimefaidika sana na Makala zake.
 
Hongera Profesa Kitila Mkumbo, waswahili wanasema wa mbili ni mbili tu, wambili havai moja.
 
Back
Top Bottom