Fighter
JF-Expert Member
- Aug 30, 2009
- 615
- 153
muongo wewe unaweza kuwa prof bila ya kuwa na phd wengi sana wapo hivyo hasa wa muhas hawana phd but ni nimaprof
Wewe hata kuelewa aukuelewa.
Nakataa kwamba uprof. Ni cheo labda kwenye learning institutions.
Kua Prof. lazima uwe na machapisho ya kutosha au research za kutosha
K. E. N. We