Dr. Kitila Mkumbo awa Profesa

Dr. Kitila Mkumbo awa Profesa

Wizara ya biashara ina KPI zinazoeleweka? Je tunapimaje ufanisi wa wizara hiyo?
 
Sometimes tunapaswa kujua mtu kasoma Nini ndipo tuamue kumkosoa au tukae kimya, japo wakati mwingine performance inaweza isilinganishwe na kiwango Cha elimu. Ila kwa waalimu Kama Dr. Kitila Mkumbo tunapaswa kujiuliza alipelekwa viwanda kutokana na elimu yake,uzoefu au exposure? Kwa kuwa Mwenye majibu Ni aliyemteua Basi sisi tuombe tuyajadili yanayoonekana tukianza na CV yake. Kupitia mjadala huu yeye Kitila na mteuzi wanaweza kutambua mtizamo wa jamii nakuamua waendelee kuaminiana au kazi imekuwa nzito?
Nawahurumia sana waliofundishwa na Kitila Mkumbo
 
Sometimes tunapaswa kujua mtu kasoma Nini ndipo tuamue kumkosoa au tukae kimya, japo wakati mwingine performance inaweza isilinganishwe na kiwango Cha elimu. Ila kwa waalimu Kama Dr. Kitila Mkumbo tunapaswa kujiuliza alipelekwa viwanda kutokana na elimu yake,uzoefu au exposure? Kwa kuwa Mwenye majibu Ni aliyemteua Basi sisi tuombe tuyajadili yanayoonekana tukianza na CV yake. Kupitia mjadala huu yeye Kitila na mteuzi wanaweza kutambua mtizamo wa jamii nakuamua waendelee kuaminiana au kazi imekuwa nzito?
Mkuu Dada Bite, Beatrice Kamugisha , Prof. Kitila ni mtu wa political science, ina political economy, he a strategist, kwa Chadema huyu na Zitto ndio walikuwa roho ya strategies za Chadema, he is very fine upstairs, na kwa maoni yangu, ni yeye ndiye aliuandika ule "waraka wa mabadiliko".

Hiki kinachoendelea sasa kwenye siasa za Tanzania, Prof alikizungumza kabla
P
 
Sometimes tunapaswa kujua mtu kasoma Nini ndipo tuamue kumkosoa au tukae kimya, japo wakati mwingine performance inaweza isilinganishwe na kiwango Cha elimu. Ila kwa waalimu Kama Dr. Kitila Mkumbo tunapaswa kujiuliza alipelekwa viwanda kutokana na elimu yake,uzoefu au exposure? Kwa kuwa Mwenye majibu Ni aliyemteua Basi sisi tuombe tuyajadili yanayoonekana tukianza na CV yake. Kupitia mjadala huu yeye Kitila na mteuzi wanaweza kutambua mtizamo wa jamii nakuamua waendelee kuaminiana au kazi imekuwa nzito?
Mkuu Dada Bite, Beatrice Kamugisha , Prof. Kitila ni mtu wa political science, ina political economy, he a strategist, kwa Chadema huyu na Zitto ndio walikuwa roho ya strategies za Chadema, he is very fine upstairs, na kwa maoni yangu, ni yeye ndiye aliuandika ule "waraka wa mabadiliko".

Hiki kinachoendelea sasa kwenye siasa za Tanzania, Prof alikizungumza kabla
P
 
Sometimes tunapaswa kujua mtu kasoma Nini ndipo tuamue kumkosoa au tukae kimya, japo wakati mwingine performance inaweza isilinganishwe na kiwango Cha elimu. Ila kwa waalimu Kama Dr. Kitila Mkumbo tunapaswa kujiuliza alipelekwa viwanda kutokana na elimu yake,uzoefu au exposure? Kwa kuwa Mwenye majibu Ni aliyemteua Basi sisi tuombe tuyajadili yanayoonekana tukianza na CV yake. Kupitia mjadala huu yeye Kitila na mteuzi wanaweza kutambua mtizamo wa jamii nakuamua waendelee kuaminiana au kazi imekuwa nzito?
Mkuu Dada Bite, Beatrice Kamugisha , Prof. Kitila ni mtu wa political science, ina political economy, he a strategist, kwa Chadema huyu na Zitto ndio walikuwa roho ya strategies za Chadema, he is very fine upstairs, na kwa maoni yangu, ni yeye ndiye aliuandika ule "waraka wa mabadiliko".

Hiki kinachoendelea sasa kwenye siasa za Tanzania, Prof alikizungumza kabla
P
 
Ikumbukwe pia kuna watu wenye cv husika katika sehemu husika za kiutendaji lakini utendaji unakuwa hovyo!
 
Prof. Kitila ni mtu wa political science
Hapana. Huyu alisomea saikolojia ya watoto.


Screenshot_20211019-091606.png


Lkn uongozi hauhusiani kabisa na aina ya kozi mtu aliyosomea. Viwandani tu ndiko tunahitaji taaluma iendane na kazi
 
Mkuu Dada Bite, Beatrice Kamugisha , Prof. Kitila ni mtu wa political science, ina political economy, he a strategist, kwa Chadema huyu na Zitto ndio walikuwa roho ya strategies za Chadema, he is very fine upstairs, na kwa maoni yangu, ni yeye ndiye aliuandika ule "waraka wa mabadiliko".

Hiki kinachoendelea sasa kwenye siasa za Tanzania, Prof alikizungumza kabla
P
Nisingetegemea Profesa wa Saikolojia aliyewahi kuwa upande wa upinzani (Chadema na ACT-Wazalendo) leo auite upinzani uchwara! Asingepitia upinzani ningemuona anastahili kuitwa Profesa lakini ninamuona nyangarakasha au boga tupu.
 
Mkuu Dada Bite, Beatrice Kamugisha , Prof. Kitila ni mtu wa political science, ina political economy, he a strategist, kwa Chadema huyu na Zitto ndio walikuwa roho ya strategies za Chadema, he is very fine upstairs, na kwa maoni yangu, ni yeye ndiye aliuandika ule "waraka wa mabadiliko".

Hiki kinachoendelea sasa kwenye siasa za Tanzania, Prof alikizungumza kabla
P
he is very fine upstairs! Kama ni hivyo inakuwaje anakashifu sehemu aliyoitumikia? Umeitumikia dini yako kwa miaka leo umehamia dini nyingine na unaamua kuiita dini uliyotoka kuwa ni ya shetani! Are you very fine upstairs?
 
he is very fine upstairs! Kama ni hivyo inakuwaje anakashifu sehemu aliyoitumikia? Umeitumikia dini yako kwa miaka leo umehamia dini nyingine na unaamua kuiita dini uliyotoka kuwa ni ya shetani! Are you very fine upstairs?
Mambo ya imani ni very delicate inakubidi uwe insensitive, ni ukweli kabisa kuna dini wanaamini shetani bila wao kujijua kwasababu shetani ameji disguise as God!. Mtu ukilijua hilo unatakiwa kujiondokea tuu mwenyewe na kuwasaidia wengine realization wajitambue but not despising dini yoyote hata wanaoabudu sanamu. Kama amefanya hivyo hilo ni kosa kubwa. Ila mtu kuwa bright , intelligent na learned msomi toka vikabila vidogo vidogo unakuta ukoo mzima PH.D ni moja tuu, lazima unakuwa arrogant. Wako ma Prof. nawajua kwenye bussiness card zao wameandika just a plain name
P
 
Mkuu Dada Bite, Beatrice Kamugisha , Prof. Kitila ni mtu wa political science, ina political economy, he a strategist, kwa Chadema huyu na Zitto ndio walikuwa roho ya strategies za Chadema, he is very fine upstairs, na kwa maoni yangu, ni yeye ndiye aliuandika ule "waraka wa mabadiliko".

Hiki kinachoendelea sasa kwenye siasa za Tanzania, Prof alikizungumza kabla
P
Mleta mada fuata muongozo huo hapo...
 
Back
Top Bottom