DRC: Wanajeshi walinda amani wa Tanzania wajeruhiwa katika mapigano na M23

hoja
 
Kwa Uganda tusijisifu Sana, tulipata msaada ndo maana ikawa rahisi kuwapiga.
 
Umewahi kushika Bunduki?
 
Wakikusikia watatamani wakuue, unataka uwaharibie hao askari michongo ya kupata pesa. Huko ndo wanapopata mishaara minono na kupata chansi ya kwenda huko hadi wanaonga na si kwamba kuna kazi kubwa kule ni mwendo wa bata tu.
 
Aisee!
 
Nimeishia hapo ulipoitaja Israel..Yaani unaifananisha Rwanda ambayo kila mtu anaijua ni maskini na Israel!!?
 
iko maeneo gani
 
Wakikusikia watatamani wakuue, unataka uwaharibie hao askari michongo ya kupata pesa. Huko ndo wanapopata mishaara minono na kupata chansi ya kwenda huko hadi wanaonga na si kwamba kuna kazi kubwa kule ni mwendo wa bata tu.
Sasa ndo wakubali M23 wawapasue makalio, msieeeew hatutaki kelele zao, si wanapenda sana dezzo acha waoneshwe kazi, dadeki. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ni kichapo tyuuuh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…