DRC: Wanajeshi walinda amani wa Tanzania wajeruhiwa katika mapigano na M23


Mkuu kama unaamini Russia hakujua kama atapambana na US na EU basi wewe ni mweupe sana.

Huwezi kuanzisha vita bila kufanya calculations za kutosha
 
Mkuu Rwanda kwa uchumi wake sio rahisi kupigana na mataifa Saba , ila kilichowasapoti Ni kwamba walikuwa wanasaidiwa na USA government kipindi kile Cha bill cliton, na ndio waliwapasapoti.
1. Training
2. Weapons
3. Strategies
4. Equipment
Na 5. financial.
Na pia bindi wanapigana walikuwa wanachuka na madini pia.
Upo ushaidi rwanda ilipewa $ 1 billion na USA kuwasapoti kivita.
 
Kagame haminiki.
 
Kagame ni kirusi ndani ya EAC. Siku ile tuliyomkaribisha EAC ndiyo siku tuliyokaribisha matatizo.
Tz nasikia walipiga kura ya kumkataa ila majinga kadhaa yalijifanya kutazama fursa za kiuchumi yaka waruhusu yajiunge na EAC
 
Mara ya mwisho majeshi ya Rwanda na Uganda kupigana wakiwa Congo ilikua Ni eneo la Kisangani mwaka 2002.
Sio kweli... hufatilii tu. Watu walitwangana huko Mashariki ya Congo, wakafungiana hadi mpaka. Mwaka huu ndo wamesuluhisha. Hiyo picha umeweka hapo ndo walikuwa wameenda kusuluhisha. Do your home work pleaseView attachment 2256677
 
mkuu Western drc kukatwa Ni ngumu sana, na ndo maana hata banyamulenge wanaoandama huko ulaya na USA wanasema wao Ni wakongo wanajua kukata Ni ngumu.
Kikundi Cha m23 battle yao inapiga Eastern huku mpakani mwa Rwanda na kidogo Uganda,
Na Mara nyingi tuu hua wanashidwa mapambana, wakishidwa wanapata urahisi was kukimbia.
Na Ni rahisi kwao kupata backup kutoka Kigali, ikiwepo askali na vifaa.
Na ndo maana hawaendi deep Sana Sana coz wakishidwa Ni rahisi kukamatwa na kukosa backup.

Hawa Ni wanajeshi wa rwanda walikamatwa ndani ya congo km 20 kutoka mpaka, walikamatwa na wanakijiji mwezi uliopita Kama 2 weeks zimepita Sasa.
 

Attachments

  • arton167063.jpg
    38.9 KB · Views: 9
Na sio rahisi watu watoke taifa jingine waje kuwapa msaada Kama nyinyi wenyewe hamko motivate na kupigana,
HAO MUNISCO wako huko kwa ajili ya kipato tuu, sio rahisi kuwa na morali ya kupigana.
Si unakumbuka UN peace keeping wa nchi ya MALI walikuwa wanaondoka wenyewe kwa sababu ya mashambulizi yalikuwa Ni mengi toka kwa jihad.
 
Mkuu nilitaka kusema Nigeria ina nguvu ya jeshi nikakumbuka ,
Jihad, Boko Haram waliwatoa jasho Sana Sana mapaka kesho
😃😃😃😃
 
Kagame anasema kuwa Congo inawasaidia waasi was kihutu, na Ni madai ambayo haina ushaidi wowote, ila Ni kwamba hao wahutu wapo wengi wengi tuu huko drc na sio FDLR pekee yao vipo vikundi vingi Kama FLN na vingine.
Mimi siamini Kama FDLR kwa Sasa wanao uwezo wa kumpindua kagame , huo uwezo 100% hawana kabisa, kwa kawaida kikundi Cha waasi kuwa na uwezo wa kupigana na serikari Ni ngumu Sana.
Na hata wakiungana still Ni ngumu Sana. Ni uwoga wake tuu kagame huo uwezo hawana.
Ila anahofu Kama wakija kusaidiwa Kama yeye alivyosaidiwa na Uganda na USA kutoa juvenile. Alisaidiwa kila KITU.
 
Kuwa na uwezo wa kupigana Vita inategemea na uchumi wako Kwanza , Rwanda iliweza Congo kupiga na nchi 7 coz ya kupata msaada kutoka USA, hata watu wa haki za binadamu wanazungumza, Mtafute YouTube mtu anaitwa KAMBALE MSAVULI, kwa Sasa wanaweza kuwa na uwezo coz wana experience kubwa japo inaweza kuwacost Sana kwenye ishu ya fedha ndo inaweza kuwa shida kwao kumbuka walipigana first Congo war 1996 to 1997 na second Congo war 1998 to 2003, na second ndo ilikuwa Vita mbaya Sana na vilipigwa 5 years na Ni nchi 7 kwa nchi Kama Rwanda Ni ngumu Sana kutokana na uchumi wao, na ule ulikuwa Ni Mkono wa USA.
 
Hio inaitwa African world war muanzilishi Ni Paul kagame na ndo maana Tunaimuita African hilter ilichukua maisha karibu wakongo million 6 , Ni Kama Adolfo hilter alivyoanzisha Vita vya dunia na kuua wayahudi 6 million.
 
Sio kweli... hufatilii tu. Watu walitwangana huko Mashariki ya Congo, wakafungiana hadi mpaka. Mwaka huu ndo wamesuluhishaView attachment 2256677
Si kweli wewe ndio hufuatilii,weka source yako hapa kuonyesha Uganda imepigana na Rwanda.Rwanda ilizinguana na Uganda kwa Sababu ilikua inawatuhumu wana-support Waasi wa Rwanda walioko Huko Congo.

Narudia tena weka source yako hapa hata 1 tu kuonyesha Rwanda na Uganda walipigana Huko Congo.
 
Sio kweli... hufatilii tu. Watu walitwangana huko Mashariki ya Congo, wakafungiana hadi mpaka. Mwaka huu ndo wamesuluhisha. Hiyo picha umeweka hapo ndo walikuwa wameenda kusuluhisha. Do your home work pleaseView attachment 2256677
Narudia tena kusema Rwanda na Uganda hawajipigana Congo na Wala hio source uliyoweka Hakuna sehemu imesema walipigana huko Congo.

Weka source hata 1 tu kuonyesha walipigana huko Congo,hautapata source hata 1 kuonyesha hilo.
 
Hayo Ni mambo ya kawaida tu kwny medani boss,hata mwaka Jana wkt mahusiano ya Rwanda na Uganda yakiwa yamezorota mbaya kabisa wanajeshi wa Rwanda walimkamata mwanajeshi wa Uganda ndani ya mipaka ya Rwanda na akiwa na silaha zake.Mwisho wa siku aliachiwa huru akarud kwao.
 
Mkuu nilitaka kusema Nigeria ina nguvu ya jeshi nikakumbuka ,
Jihad, Boko Haram waliwatoa jasho Sana Sana mapaka kesho
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Hahah kwa kweli u-superpower wa Nigeria kwny mambo ya kijeshi hapa Africa nilisha-udharau sana sababu ya hao al-shababu.[emoji1][emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…