Tuwe makini nchi yetu isijikute inaingia vita na tusiowajua sisi huku tukifikiri ni Rwanda! Russia ilipoivamia Ukraine haikujua kama itapambana na US na nchi za EU mpaka leo.
Natamani nchi yetu iendelee kuwa ya Amani,kama vipi wanajeshi wetu wajitoe katika kikosi cha kulinda amani huko Kongo warudi nyumbani.
Mkuu kama unaamini Russia hakujua kama atapambana na US na EU basi wewe ni mweupe sana.
Huwezi kuanzisha vita bila kufanya calculations za kutosha