Droo Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika: Yanga SC vs Rivers United - Simba SC vs Wydad Casablanca

Droo Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika: Yanga SC vs Rivers United - Simba SC vs Wydad Casablanca

Naomba nitoe maoni yangu.

Ukiwa umeshafika hatua ya robo fainali kwenye CAF Champions League, kwa nafasi kubwa utakuwa unapambanishwa na timu kongwe na zenye mafanikio makubwa sawa au kuliko wewe. Ni timu zenye uwezo mkubwa kiuchumi na uwanjani pia. Usitegemee timu ndogo tena.

Njia pekee ya kupita kwenye hatua hii ni kujifunza na kuwa na mawazo (mentality) ya hakuna cha kupoteza. Kwa idadi kubwa hupewi nafasi kubwa ya kushinda. Ingia uwanjani na mcheze mkiwa hamna shinikizo lolote (pressure).

Kwa maoni yangu, timu zingine ndio zitakuwa na pressure ya kushinda na sio Simba SC kwa sababu wao ndio wanaopewa nafasi kubwa ya kushinda na hawatakuwa tayari kushangazwa na timu kama Simba SC.
Kitu cha muhimu ni kwa Simba SC kuwekeza zaidi kupata wachezaji wa kutoka robo fainali mpaka fainali. Na hapo hakuna ujanja zaidi ya kuwapata wachezaji wa kiwango cha zaidi ya wachezaji wa sasa. Hamna kupindisha maneno.

Pia kwenye mchezo wa kandanda, hakuna lisilowezekana. Kuna maajabu yanaweza kutokea. Kuna mifano mingi ya timu ndogo kuishinda timu yenye majina makubwa ya wachezaji na mafanikio.

With the right mentality and "we have nothing to lose" mindset, miracles can happen. Best of luck to Simba SC.
My 2 cents.
Umeongea kikubwa sana.
 
Sasa ulitegemea ipangwe na timu gan?kadri mashindano yanavyosogea ukingoni kunakua na timu ngumu,na ndo maana halisi ya champions league,sasa CAF hapo wana kosa gani.
Angalau wangepangiwa na ES Tunis
 
Simba atashinda Dar lakini pia simba atafungwa Morroco. Haya maneno yatunze hapa tutayarudia.Usikariri matokeo. Timu youote inayofika hatua hii huwezi kuibeza na INAWEZEKANA Waydad akatolewa si kwa kuwa hana uwezo ila kwa sababu ya kuona kapata timu dhaifu.
Kama simba alitolewa kwa kudhani galaxy mbovu basi hata Waydad aweza tolewa kwa kigezo hicho hicho.
Mpira hauchezwi mtandaoni.


God is above all that you know.
Acha upumbavu bro
 
Historia haijawahi kuongopa View attachment 2577013
Hii ni Historia na imebakia historia na ni kweli kabisa.

Yanga ilianzishwa na watz wazawa halisi na waliunga mkono jitahada za kutafuta uhuru wetu.

Simba ilianzishwa na Wahindi na waarabu wasiokuwa wanajali kuhusu uhuru wa hii nchi.

Sasa jitathmini unashabikia utumwa?

Historia haidanganyi, Simba ina wenyewe na wewe sio sehemu hiyo.
 
Hii ni Historia na imebakia historia na ni kweli kabisa.

Yanga ilianzishwa na watz wazawa halisi na waliunga mkono jitahada za kutafuta uhuru wetu.

Simba ilianzishwa na Wahindi na waarabu wasiokuwa wanajali kuhusu uhuru wa hii nchi.

Sasa jitathmini unashabikia utumwa?

Historia haidanganyi, Simba ina wenyewe na wewe sio sehemu hiyo.
Jibu lililokwenda shule
 
Hii ni nzuri! Ck zote lazima uji challenge na vitu vigumu. Simba moya
 
kama kwa Raja nyasi hazikuumia? iweje kwa Wydad...

This is the easiest Game home and Away to Arabs.

natafuta elfu 50 naweka ushindi kwa Waarabu, H & A
Umewaza kama mimi. Hii ni hela nje nje kwa kumuua simba home na away.
 
Uzuri ni kwamba hata hilo unalolisema likitokea haiwezi kuwa noma

Unajua kwasababu gani?

Kwasababu nimefungwa na timu kubwa tena kwenye mashindano makubwa na magumu.

Ishu ipo kwenye levels zenu za form four failures ambao mmegeuka kuwa resetters na kuanza kujifananisha na sisi
Huwezi kuwa bingwa kwa mentality ya namna hii .
 
SIMBA KAMTOA ZAMALECK BINGWA MTETEZI NYUMBANI KWAO MISRI 2003.

1. Juma kaseja.
2. Said swedi.
3. Ramadhani waso.
4. Victor Costa.
5. Boniface pawasa.
6. Christofer Alex.
7. Yusuph Macho.
8. Suleiman MATOLA.
9. Emanuel Gabliel.
10. Otman Machupa.
11. Ulmboka mwakingwe.

Atakuwa widad????
 
mi niliwaambia mwaka huu Casablanca wana jambo lao msimbazi...
[emoji23][emoji23] Daah naona kama bora Raja, kuliko Wydad
Bora wydad isee ukiangalia match zake za nyuma unaona kabisa tunaweza kupambna vizuri tu.
 
SIMBA KAMTOA ZAMALECK BINGWA MTETEZI NYUMBANI KWAO MISRI 2003.

1. Juma kaseja.
2. Said swedi.
3. Ramadhani waso.
4. Victor Costa.
5. Boniface pawasa.
6. Christofer Alex.
7. Yusuph Macho.
8. Suleiman MATOLA.
9. Emanuel Gabliel.
10. Otman Machupa.
11. Ulmboka mwakingwe.

Atakuwa widad????
FB_IMG_1680371672550.jpg
 
Yaani mpaka Phiri anashangaa.
Screenshot_20230406_083644_Instagram.jpg

Daah ila jamaa aliye design hii graphics, sijui alifikiria nini.
 
Hii team ya yanga ina wapuuzi wengi sana hawajui lolote kuhusu footbal
Huku Mtaani vilio vimetawala Baada ya makolo ....aka dunduka kupangiwa na miamba ya soka hapa Africa ( wydadi Casablanca) ambaye Kwa kweli sio level kabisa....kimsingi Simba ni under cat[emoji250] ( sio under dog Tena ) Kwa sababu ni mdogo mno

Vilio vimetawala Kwa mashabiki wikitaka wabadilishane na wananchi vikosi


Nasemajeee! nasemajeee! ONYANGO KIDOGO, MAGOLI MENGIIII[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mmeyakanyagaaaaaa mtanii sio siri.[emoji119][emoji119]

R I P again BOB JUNIOR [emoji848]


Ushauri: Simba kimbilieni Malawi mkajificheView attachment 2577856
 
Back
Top Bottom