Tanzania pekee East Africa na kidedea duniani kuvutia investmentBogus ni wewe usiyejua kwamba Magufuli kwa kiherehere chake cha kuminya mzunguko wa fedha ndiye aliyeua biashara na kupelekea BOT kushusha interest rate.
Na hata wakishusha mpaka ifike negative kama ilivyokuwa Japan, kama wafanyabiashara hawana imani na serikali, kushusha interest rate hakusaidii kitu.
Sent from my Kimulimuli
Biashara ni nini? Bila kueleza tafsiri ya "biashara" mtu anaweza kuhesabu hata meza ya shoe shine kama biashara.Kuhusu Swala la uwekezaji Tanzania
Tangia lini investment interest zikawa juu ya loan interests? Interest rates za kukosa bombardier unazijua? Kama juziiii kwanini ulaumu?Kwanza biashara ya cash ni ujima. Kama zimelipiwa cash hilo linathibitisha viongozibwetu ni nyumbu. Watu wanachukua mkopo ulio na interest rate ndogo kuliko return on investment ya hela na kuweka hela kwenye sovereign wealth fund na kutumia interest kulipia hivi vimikopo. Ushaelewa akiki hiyo?
Pili.
Kama imelipiwa cash, wanachoikamatia ni kipi?
Umesoma original post? Inataja mkopo ambao haujalipwa.
Mtu ambaye anaacha kulipa mkopo kwa muda mrefu anafanya jambo la kijinga sana, kwa sababu mkopo unavyoachwa bila kulipwa kwa muda mrefu ndivyo interest charges zinavyozidi na credit worthiness ya mkopaji inavyopungua.
Halafu tunasifia utawala huu kwamba uko makini kweli?
Sent from my Kimulimuli
Hahaha so don't you see we are not like yesterday no matter what steps we take but we are moving to greatness, our economy is vibrant and mutableUnafahamu kwamba ukuaji tu haukwambii chochote?
Unafahamu kwamba mtu aliyekuza uchumi wake kutoka dola moja kwenda dola kumi amekuza uchumi wake mara kumi zaidi ya mtu aliyekuza uchumi wake kutoka dola bilioni moja kwenda dola bilioni kumi?
Unafahamu kwamba unaweza kukuza uchumi halafu uchumi ukaishia kwenda nje ya nchi?
Sent from my Kimulimuli
Mungu wangu, kwaiyo biashara zingezidi kuwa vizuri kama wakati wa mkwere rates zingefika 90%??Bogus ni wewe usiyejua kwamba Magufuli kwa kiherehere chake cha kuminya mzunguko wa fedha ndiye aliyeua biashara na kupelekea BOT kushusha interest rate.
Na hata wakishusha mpaka ifike negative kama ilivyokuwa Japan, kama wafanyabiashara hawana imani na serikali, kushusha interest rate hakusaidii kitu.
Sent from my Kimulimuli
Tangia lini investment interest zikawa juu ya loan interests? Interest rates za kukosa bombardier unazijua? Kama juziiii kwanini ulaumu?
Ndege imekamatwa kwa deni lingine kabisa na wala halihusiani na ununuzi wa hiyo ndege
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe mzaramo matusi ya nini ?Acha lugha za kashfa choo cha kike umeenda kufanya nini acha wakupige tu hiyo miti
Sent using Jamii Forums mobile app
Business zinazopata vibali kupitia our EPZs, TIA, BRELA, TIC, Nafikiri unajua ni biashara za aina gani, to help you is at least 700 millions and above.Biashara ni nini? Bila kueleza tafsiri ya "biashara" mtu anaweza kuhesabu hata meza ya shoe shine kama biashara.
Sent from my Kimulimuli
Ndege imekamatwa kwa deni la kampuni ya kandarasi iliyofukuzwa nchini kwa kutomaliza kazi kwa wakati.. Umeisoma hiyo habari kweli?Mimi nina investment zinazonilipa interest kubwa kuliko interest rates za loan. Nakopa, na invest. Nalupa mkopo.
Si kitu ninachosema kwa kusoma vitaabu. Ni kitu ninachoishi.
Unapoandika "interest rates za kukosa Bombardier" maanabyako nini? This is vague. It does not make sense.
Ndege imekamatwa kwa deni lingine kabisa lisilohusiana na ununuzi wa hii ndege? Hilo deni linahusiana na ununuzi wa nini? Ungo anaoruka nao Magufuli usiku?
Sent from my Kimulimuli
Kama ni vuvuzela Hiyo ndege mbona haifiki huu ni mwezi wa ngapi au inakuja kwa gari imwpakiwa kwenye semiMsisumbuke na vuvuzela Lissu atawaingiza kingi huyo ni msaliti za nchi yetu!
Our economy is falling. Magufuli is to blame.Hahaha so don't you see we are not like yesterday no matter what steps we take but we are moving to greatness, our economy is vibrant and mutable
Rates au rate? Unajua hiyo s inavyotofautisha singular na plural?Mungu wangu, kwaiyo biashara zingezidi kuwa vizuri kama wakati wa mkwere rates zingefika 90%??
Sent using Jamii Forums mobile app
Simple things become complicated when you expect too much, all that are wishes and time is the best teller.Our economy is falling. Magufuli is to blame.
I oredict the fillowing in 2 to 3 years.
1. Negotiations with Acacia will fail. This will lead to Acacia stock to nosedive and they eventually will close shop in Tanzania.
2. The Tanzanian government will not be paid what it claims. This will mean failure to get the USD $190 claimed by the Tanzanian government.
3. The Tanzanian government will nationalize Acacias mines. Of which at least one, Buzwagi, is kaput anyway.
4. Tanzania will become a pariah. External investors will fear and leave. Internal investors will scake back adversely.
5. The interest rate will fall even further to no effect since investor confidence will be so low.
Put your predictiins here and ket us revisit in 2-3 years.
The best way tovsettke an argument is to put it throughbthevtest if time.
Sent from my Kimulimuli
Kwanza kabisa nitake radhi kwa ku suggest nakopesha wauza unga.Ndege imekamatwa kwa deni la kampuni ya kandarasi iliyofukuzwa nchini kwa kutomaliza kazi kwa wakati.. Umeisoma hiyo habari kweli?
Aisee ni wapi huko ambako interests za loan ziko chini ya investment interests? Last time I checked government bonds zina value 7%-15%.. Unafanya investment gani ndugu yetu au unawakopesha wauza unga?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unafahamu kwamba kati yangu na wewe, wewe ndiye unaye expect too much hapa?Simple things become complicated when you expect too much, all that are wishes and time is the best teller.
Unapoandika "is at keast 700 milluons and above" maana yako nini?Business zinazopata vibali kupitia our EPZs, TIA, BRELA, TIC, Nafikiri unajua ni biashara za aina gani, to help you is at least 700 millions and above.
Nilisahau kuongeza na za bashite pia, hehe!Watu wa Kolomije tu ndio wapo na roho mbaya
Kwa kweli kiranga usijifanye hujui nilichomaanishaUnapoandika "is at keast 700 milluons and above" maana yako nini?
700 millions -sic- what? Cowrie shells?
What does 700 million represent? Revenue? Profit? Projected revenue? Investment?
Umetoa wapi hii? Unaweza kutoa source?
Unaandika kama mtu asiyejua anachoandika.
Sent from my Kimulimuli
Mimi si Kiranga.Kwa kweli kiranga usijifanye hujui nilichomaanisha