SANCTUS ANACLETUS
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,338
- 4,676
Unaongea nini mkuu? Are You a thinker? Kwani hata wakitokea 100 kuna tatizo gani? Kwani alipokubali kuapa hakujua Scope ya majukumu yake kuwa Ni very broaden?Rais anaendelea Na hotuba kumwambia wape hao makaratasi yako utasaidiwa!
Think this way, what if ana sikiliza and then wakatokea wengine 10 atamaliza speech?