Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
MzilankendeMarehem alikua jambaz full stop
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MzilankendeMarehem alikua jambaz full stop
Sheria Mbovu Zinalinda Hawa WatuHivi magufuli kama asingekufa na akaendelea na madudu yake haya,halafu akaja kustaafu kama marais wengine,hizi tuhuma zingekuja ibuliwa?na kama zingeibuliwa muhusika angejisikiaje?
Samia ashitaliwe alikuwepo na alikuwa makamu wa RaisAkafukuliwe ili ashtakiwe
Pesa wanarudisha kisha wanaongoza tozo![]()
Ukaguzi akaunti ya Plea Bargaining... Waliokamuliwa waliamsha dude
Wakili amwandikia barua Rais amsimamishe Jaji Biswalowww.mwananchi.co.tz
Tuanze na yeyeSamia ashitaliwe alikuwepo na alikuwa makamu wa Rais
Nchi huwa na Rais mmoja tu. Hili la kwake!Samia ashitaliwe alikuwepo na alikuwa makamu wa Rais
We ni tahila dada,
Mateso madogo aliyopitia, ya kufungwa bila sababu?Rugemalila peke yake ndiyo alikomaa mwanzomwisho mpaka kikaeleweka.
NONSENSE...Hakuna watu wapuuzi kama watanganyika,nyie enzi za Kikwete mlikuwa mnapiga kelele kuwa nchi imevamiwa na mafisadi, mpaka Wapinzani wakafanya maandamano, mpaka Bunge likataka kulipuka Lissu na Zitto wakitoa tuuma za wizi wa IPTL na akina AgeCCo na Richmond,tume kibao ziliundwa watu wakawajibika,hata enzi za Kikwete kuna watu walisamehewa, lakini kwa shariti la kurudisha ela walizozichukua, mpaka Kikwete akaitwa mwizi na dhaifu.Alivyo ingia Magufuli kawashulikia wale waliokuwa wanatumiwa kwa kuwakamata,leo hii eti Magufuli anaonekana mbaya kisa alishughulikia waliokuwa wakipigiwa kelele kuwa wameshindikana,kweli nchi kupata maendeleo ya kweli lazima kizazi hiki cha wanafiki kitoweke,kije kizazi kingine.
Nitajie ONLY ONE high profile politician and ONLY ONE high profile government official ambae Magu alimkamata!!Walioiba Wakati wa Magufuli mwambie Samia hawakamate kama Magufuli alivyokamata wezi wakati wa Kikwete,acheni propaganda wakina Lissu na Silaa na Myika Zitto co,ndio waliotuamanisha wizi ktk Serikali ya Kikwete tena kwa nyaraka na ushaidi, nyinyi naona mnaongea bumba akuna ushaidi wa kuonyesha wizi wa Magufuli labda chuki ndizo zinazowaongoza.
Pili, Mhe. Rais Magufuli amemteua Bw.Thobias Andengenye (aliyewahi kuwa Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji) kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma. Bw.Andengenye anachukua nafasi ya Brigedia Jenerali Mstaafu Emmanuel Maganga ambaye amestaafu.
Ila mwanzo uliiimba hapa kazi tu..Hii iende mbali zaidi ya plea bargaina, wapo waliolazimishwa na baadhi ya wakuu wa mikoa (Haswa Dar.) kutoa mali zao na fedsha zao kiubabe bila hata ya kufikishwa mahakamani. Kuna watu waliwekwa rumande kibabe tu, wakitoa pesa anaachiwa bila kupitia hiyo plea bargain, hawa ndio wengi zaidi.
Makonda ana mengi ya kujibu.
Hivi ni kwamba mnaamua kudanganya watu au HAMJUI ukweli wa mnachoongea?!Dar slum tulikua tunakaa kwenye foleni masaa,
Ile jam ilikua inakula mda wetu wote,
Sasa hivi hatuoni na tumesahau kabisa...
Mwendazake alikua shujaa wa Africa.
Natamani angeendelea kuwepo akwapue zaidi afanye maendeleo.
Haya yaliyopo saiz ni vituko.
Tuendelee kutoa tozo kwa moyo mmoja.
Kazi iendelee.Ila mwanzo uliiimba hapa kazi tu..
Ccm ni janga