Dunia hii vilaza ndo wanafanikiwa, wenye akili wanaishia kufa kwa stress

Unazungumzia data ambayo ni outlier. Data iliyojitenga. Data ambayo haiwezi kutumika kufikia hitimisho la data KWA ujumla

Nazungumzia kuwa kusoma hakuna uhusiano na Akili.

Wapo ambao hawajasoma lakini wanaakili kubwa kuliko waliosoma
 
Bro if you can't fight them ....Just Join Them [emoji1787]

Life isn't that fair as you think [emoji23][emoji38][emoji38]
 
Je, haya uliyoyaandika ndio maadiri ya udaktari?
 
Hapo kwenye mdondoko wa pcb na pcm una maana gani?
 
Ukishindwa kufanikiwa wakati unahisi wewe una akili basi wewe ndiye asiye na akili maana akili ni lazima ikutatulie changamoto zako kama umeshindwa basi wewe kilaza tu.
 
Umeharibu mada ulipoweka hiyo takataka inaitwa JPM
 
Huyo alikuwa tapeli.hakuna Cha maana alivhoweza zaidi ya propaganda na vitisho
 
Number Moja mwenyewee kasoma record management astashahada kapata vyeo Kama vyote Hadi kuwa makamu rais wa bunge la Katiba na Kisha baada makamu wa rais na. SAS Ni raisi wa JM T na pia amiri jeshi mkuu command in chief
Wewe Sasa na PhD zako unajiita profesa wa jalalani.

Mpaka hapo IQ bila EQ ni utaahira.
 
Mwandiko !!!!!
 
Yote maisha tu
 
Sio Dunia tafadhali.

Sema Africa.

Nchi zingine huwezi kuwa kilaza halafu uwe kiongozi.
 
Hawa Mangwine ndio wanapanga third/ fourth year science project mwanafunzi apewe sh. 150000 mbuzi sana. Project gani ya kisayansi unafanya kwa sh. 150000.
Majinga sana, mpaka leo huwa najiuliza wanawazaga nini. Hayajuagi kuwa kuna kampuni zimezaliwa kwa college project .
Ukija COSTEC angalia hela wanayotoa ya ugunduzi milioni 50. Hio hela itafanyia utafiti gani labda uunde toy za watoto. Wachangiaji wanachukulia hoja kijuu juu tu na hii inaashiria ule ukilaza anaouzungumzia mtoa mada.
 
Una maanisha mmekuwa wafamasia. Sasa vilaza wangeenda kuwa wafanasia si wangetuua kwa overdose.
 
Ukishindwa kufanikiwa wakati unahisi wewe una akili basi wewe ndiye asiye na akili maana akili ni lazima ikutatulie changamoto zako kama umeshindwa basi wewe kilaza tu.
Mafanikio ni function ya vitu vingi having uhusiano na akili. Akina nape na January ni matajiri kwa kuiba sana serikalini Sasa hii siyo akili Bali ni kuangamiza jamii iliyopp na siku ya mwisho itakuwa kilio na kusaga meno
 
Una maanisha mmekuwa wafamasia. Sasa vilaza wangeenda kuwa wafanasia si wangetuua kwa overdose.
Kipimo cha kuwa na akili ni uwezo wa kutathmini mazingira yanayokukabili kisha kuchukua njia iliyo bora. Kukariri Avogardo principle au Newton laws of motion kunakufanya kuwa kama kasuku tu.

Haya unajuwa hayo ma Archimedes na ma laws of floatation yanakusaidia nini maishani. ? Endelea kulia lia mpaka uzeeke hao unawaita vilaza wananyoosha maisha yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…